Hii project yenu Yanga ya kuumiza wachezaji wa Simba haitawasaidia

Rage ajengewe sanamu

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Jana Lomalisa kakitwa kwenye paja kadi nyekundu haikutoka na Lomalisa kipindi cha pili akashindwa kuendelea.Ila huwezi kuta Yanga anafikiria huu ujinga wenu sababu anajiamini na wachezaji wake walio benchi.

Tatizo lipo kwenu na kocha yenu asiyefanya rotation. Au mliwatuma Namungo maana mfadhili wa Namungo ni mshabiki wa Simba na Coast ni ndugu zenu mnazimana mpaka makocha.
 
Safari hii mkifanya uchaguzi wa wazi na haki mtaangukia pua. Wapinzani watashinda ushindi wa kishindo haijawahi kutokea. Raia wana hamu ya kutaka mabadiliko ya sera mbadala. Wapinzani ndio chaguo lao na hii iko wazi kila kona ya nchi. Nyie mtaambulia kura za makada wenu na wale wanaonufaika moja kwa moja na chama chenu ambao ni wachache.
 
Uliiona ya lomalisa Jana au ndio ukapimwe mkojo.
 
Yule nilivyomuona mara ya kwanza tu niliwaza kama kweli anaweza kuwa beki bora. Ametepeta sana. Halafu ile ajali alikuwa na nafasi kubwa ya kuikwepa kabisa,lakini akajichomeka tu hivyo hivyo. Mechi yenyewe hii ilikuwa lain kabisa kwa mikia ksbb walikuwa wanacheza na mtoto wao,lazima wachukua point. Wangecheza kwa ku-relux tu. Hii mechi haikuwa ya kuumia hii
 
Wewee... Acha utoto
 
sasa coastal si timu yenu inakuwaje tena iwe yanga kuhusika na mchezaji wenu aliyeumuzwa na coastal?
 
Nafuatilia uzi huu naona asilimia kubwa wanaochangia ni kama wake wenza na bwana yao amesusa kulala kwao wiki ya pili sasa.
Malizaneni kwanza na mabwana zenu kisha mje hapa mkiwa na akili zenu timamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…