Hii ramani itaweza kalisha tofali ngapi na shingapi kupandisha boma

Hii ramani itaweza kalisha tofali ngapi na shingapi kupandisha boma

Status
Not open for further replies.

phano09

Member
Joined
Sep 6, 2021
Posts
13
Reaction score
5
20210807_211104.jpg
 
Hello wadau kam kichwa kinavyojieleza hapo nilitamani kukua hii ramani itaweza chukua shingapi mpk kukamilisha boma tofali ngapi View attachment 1942721
Ningeweza kukuambia hapa tofali zote kwa usahihi zaidi, ILA

Kwa ramani uliyoweka nathubutu kusema siwezi kupoteza muda kukuambia ni Tofali ngapi.

Ushauri.
Hiyo ramani ni mbovu, nakushauri usiende kujenga nyumba ya hivyo labda Kama mtaenda kuishi mbilikimo tu
Sitting room mita 2.7??? Masihara kabisa haya
 
Ningeweza kukuambia hapa tofali zote kwa usahihi zaidi, ILA
Kwa ramani uliyoweka nathubutu kusema siwezi kupoteza muda kukuambia ni Tofali ngapi.
Ushauri.
Hiyo ramani ni mbovu, nakushauri usiende kujenga nyumba ya hivyo labda Kama mtaenda kuishi mbilikimo tu
Sitting room mita 2.7??? Masihara kabisa haya
Sitting room ya foot saba ????
 
Ningeweza kukuambia hapa tofali zote kwa usahihi zaidi, ILA
Kwa ramani uliyoweka nathubutu kusema siwezi kupoteza muda kukuambia ni Tofali ngapi.
Ushauri.
Hiyo ramani ni mbovu, nakushauri usiende kujenga nyumba ya hivyo labda Kama mtaenda kuishi mbilikimo tu
Sitting room mita 2.7??? Masihara kabisa haya

Mkuu kuna aina tofauti tofauti za living room/area...

Mfano kwa hiyo ya ramani ya jamaa , living room imebuniwa kwa mtindo unaitwa "gallery design"...huwa ni mfano wa korido kubwa...sio common sana kwa nchi za kibongo

Kitu pekee cha kumshauri hapo ni kwamba upande mmoja huu ilipo veranda badala ya kuweka mlango na dirisha basi aweke mlango mkubwa mithili ya milango ya fremu ili huohuo uwe ni mlango/dirisha...

Pia eneo la vyoo liongezeke kidogo kama anataka kuweka choo cha kukaa, akiweka choo cha kukaa atakosa eneo la kuogea...
 
Mkuu kuna aina tofauti tofauti za living room/area...

Mfano hiyo ya ramani ya jamaa inaitwa "gallery design"...huwa ni mfano wa korido kubwa...sio common sana kwa nchi za kibongo

Kitu pekee cha kumshauri hapo ni kwamba upande mmoja huu ilipo veranda badala ya kuweka mlango na dirisha basi aweke mlango mkubwa mithili ya milango ya fremu ili huohuo uwe ni mlango/dirisha...
Asante kiongozi,
Kwa kuangalia tu ni approximate matofali kama 2000 hivi ila, inaona kama iko compressed sana pia Wapi utaita mbele ya nyumba na pawe na muonekano huo?
 
Asante kiongozi,
Kwa kuangalia tu ni approximate matofali kama 2000 hivi ila, inaona kama iko compressed sana pia Wapi utaita mbele ya nyumba na pawe na muonekano huo?
Haitafika hizo Tofali mkuu hiyo nyumba ni ndogo sana labda msingi uwe futi 6 kwenda chini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom