Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unateseka ukiwa wapi shehe wetu.wewe ndio unaonekana hata huelewi wala hujui kusoma. Hiyo green ni palestina, ila baada ya ww2 ndio Israel kuanza ku force kukalia ardhi ya palestina na mpaka hapo mwisho nguvu za mataifa ya magharibi zimetumika kufanya waisrael kuikalia ardhi ya palestine kwa zaidi ya asilimia 90.
Ni uonevu wa waziwazi kabisa. Israel hawana nchi bali ni wavamizi wa nchi za watu tu ndio maana walipovamia kule German Hitler aliwaonyesha chamtemakuni
Tumkabidhi maisha yetu kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.wewe ndio unaonekana hata huelewi wala hujui kusoma. Hiyo green ni palestina, ila baada ya ww2 ndio Israel kuanza ku force kukalia ardhi ya palestina na mpaka hapo mwisho nguvu za mataifa ya magharibi zimetumika kufanya waisrael kuikalia ardhi ya palestine kwa zaidi ya asilimia 90.
Ni uonevu wa waziwazi kabisa. Israel hawana nchi bali ni wavamizi wa nchi za watu tu ndio maana walipovamia kule German Hitler aliwaonyesha chamtemakuni
In your dreamsIsrael 🇮🇱 itafutika kwenye ramani ya dunia
Tangia lini 'Wakubinuka' daima wakawa na Akili Mkuu? Mbona unataka Kuwatesa na Kujitesa kuwahoji ya Msingi mno?Kama kweli ,hawa wapalestina wa bongo wanayaelewa haya ? Au wanashabikia tu vita vya gaza View attachment 3057539
Ulikimbia Shule? achana na propaganda za wapumbavu fanatic Muslims.. Hilo jina Palestina ni Jina chukizo kwa Waisrael lilianza kuitwa na Roman Empire ili kuwaudhi Waisrael waliogoma kutawaliwa kwao na Roman Empire so wakafurushwa na nchi yao ikaanza kuitwa Palestina ambayo tafsiri yake ni Wahamiaji in English Immigrants Land..Kama kweli ,hawa wapalestina wa bongo wanayaelewa haya ? Au wanashabikia tu vita vya gaza View attachment 3057539
Taifa la Israel lilikuwepo kabla ya ujio wa Uislamu, Quran na Wapalestinawewe ndio unaonekana hata huelewi wala hujui kusoma. Hiyo green ni palestina, ila baada ya ww2 ndio Israel kuanza ku force kukalia ardhi ya palestina na mpaka hapo mwisho nguvu za mataifa ya magharibi zimetumika kufanya waisrael kuikalia ardhi ya palestine kwa zaidi ya asilimia 90.
Ni uonevu wa waziwazi kabisa. Israel hawana nchi bali ni wavamizi wa nchi za watu tu ndio maana walipovamia kule German Hitler aliwaonyesha chamtemakuni