kocha Nabi JF-Expert Member Joined Feb 1, 2022 Posts 709 Reaction score 1,881 Jul 5, 2024 #1 dkk 8 tu zimeachana uharaka wake upoje ama mimi ndo sijaelewa.
M Mkumbwa Jr JF-Expert Member Joined Mar 23, 2016 Posts 2,668 Reaction score 3,751 Jul 5, 2024 #2 Zimepishana kama lisaa na kidogo ila ngoja wataalam wakokotoe
kocha Nabi JF-Expert Member Joined Feb 1, 2022 Posts 709 Reaction score 1,881 Jul 5, 2024 Thread starter #3 Mkumbwa Jr said: Zimepishana kama lisaa na kidogo ila ngoja wataalam wakokotoe Click to expand... hesabu za kawaida kutoka 12:00 hadi 1:41 ni lisaa na dkk 41 na kutoka 3:30 hadi 5:19 ni lisaa na dkk 49. ingefika saa 5:30 ingekuwa masaa mawili kamili. so zimepungua dkk 11 ndio maana imekuja lisaa na dkk 49.
Mkumbwa Jr said: Zimepishana kama lisaa na kidogo ila ngoja wataalam wakokotoe Click to expand... hesabu za kawaida kutoka 12:00 hadi 1:41 ni lisaa na dkk 41 na kutoka 3:30 hadi 5:19 ni lisaa na dkk 49. ingefika saa 5:30 ingekuwa masaa mawili kamili. so zimepungua dkk 11 ndio maana imekuja lisaa na dkk 49.