Na nyie mumfungage basi hata mwarabu ugali hahahhahahhahahaaahahaaahHamna kitu kama hicho banaaa. Mmeamua tu kuleta nyuzi zenu za kishabiki kisa mmemfunga yule mwarabu koko. Bhaass hakuna kingine hapo.
Una hakika gani kwamba tutashiriki mashindano ya Kimataifa mwakani na kufika huko makundini?
Yaani hapo umefikiri hadi umetokwa jasho kila sehemu yako ya mwili ndo ukaja na uzi huu.MWAKA 1998 YANGA SC WALIFANIKIWA KUINGIA HATUA YA MAKUNDI CLUB BINGWA
YANGA WALIWEZA KUWEKA RECORD MATATA AMBAYO SIDHANI KAMA KUNA TIMU ITAKUJA KUIFIKIA
YANGA ILIWEZA KUWEKA RECORD YA KUFUNGWA JUMLA YA MAGOLI 25 hatua ya makundi walifungwa goli 19 angalia kwenye msimamo apo na hatua ya mtoano (awali) walifungwa goli 6 6+19=25 manake wastani kwenye kundi kila timu iliifunga Yanga magoli 6 yaani home na away.
Rekodi hi niyakipekee kabisaView attachment 994914
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani unateseka mkuu?Yaani hapo umefikiri hadi umetokwa jasho kila sehemu yako ya mwili ndo ukaja na uzi huu.
Kweli mikia mmechoka
Mkuu, mi sina mateso yoyote ila naona unajifariji kwa kinachoendelea kwa yanga na mikia TPL.
Hiyo ni raha ya paka kukalia mkia wake halafu anajiona anafaidi sana juu ya kiti hahahaHatujakataa ila hiyo record ina Umuhimu gani kwa nyakati tulizonazo?
Hebu tuambie basi Mtani?😜😜
subiri jumamosi uone wale wazee wa ndombolo wanakavyocheshwa SingeliMkuu, mi sina mateso yoyote ila naona unajifariji kwa kinachoendelea kwa yanga na mikia TPL.
Hata huko najua hamfiki mbali. Karibuni nyumbani in advance
Tarajia kutokea mambo yasiyotarajiwasubiri jumamosi uone wale wazee wa ndombolo wanakavyocheshwa Singeli
Si uliona waarabu walivyotapika wali Nazi pale kwa mchina
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ilivyokuwa dhidi ya waarabu SaouraTarajia kutokea mambo yasiyotarajiwa
Hebu hukooo. 🤣🤣🤣 nini lakini dogo?
Nipo aiseee. Wajua tena Swahiba January shughuli zinakuwaga mingi. Ila nipo bana.
Hahahaaa. Noma sana.Hiyo ni raha ya paka kukalia mkia wake halafu anajiona anafaidi sana juu ya kiti hahaha
Wanadhani Vita Club ni kama wale Waarabu Koko.Tarajia kutokea mambo yasiyotarajiwa
Kumbuka manara aliwaambia hapa mkambeza na yule mchambuzi wenu uchwara shaffi dauda. Yaani huyo vita akijitahidi sana huko kwao sare ila hapa kwa mchina lazima akatwe kiwiliwili..View attachment 50259269_360452084536063_7054067214801960960_n.mp4Wanadhani Vita Club ni kama wale Waarabu Koko.
Natunza maneno yako Mkuu sababu jumamosi sio mbali atii.Kumbuka manara aliwaambia hapa mkambeza na yule mchambuzi wenu uchwara shaffi dauda. Yaani huyo vita akijitahidi sana huko kwao sare ila hapa kwa mchina lazima akatwe kiwiliwili..View attachment 995862
Sent using Jamii Forums mobile app
We tunza maneno yangu,na urudi hapa jmosi baada ya mechi. Wale tunawapiga kulekule kwao na wakijitahidi sare tena ni sare ya mabao. Safu ya ushambuliaji ya Simba ina njaa sana,siyo rahisi kumaliza dakika 90 bila kufunga!Natunza maneno yako Mkuu sababu jumamosi sio mbali atii.
Kwa sare hilo sahau.
Kule Congo huta amini kitakachotokeaWanadhani Vita Club ni kama wale Waarabu Koko.
Usijali Mkuu. Na hapo umepatia inawezekana kabisaa mkafunga goli ila si ushindi.We tunza maneno yangu,na urudi hapa jmosi baada ya mechi. Wale tunawapiga kulekule kwao na wakijitahidi sare tena ni sare ya mabao. Safu ya ushambuliaji ya Simba ina njaa sana,siyo rahisi kumaliza dakika 90 bila kufunga!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaas. Naona umelewa sifa ya kumfunga mwarabu koko eee. Hivyo Swahiba kwa maana hiyo mtashinda nje ndani mechi zote sita?Kule Congo huta amini kitakachotokea
Simba wako vizuri au nikupitie twende Kinsasha ukapate burudani
Sent using Jamii Forums mobile app