Hii record ya Yanga haiwezi kuvunja Tena Tanzania

Hahaaas. Naona umelewa sifa ya kumfunga mwarabu koko eee. Hivyo Swahiba kwa maana hiyo mtashinda nje ndani mechi zote sita?

Nipitie twende nikawazomee.
Simba anaweza kupata matokeo popote pale wako vizuri kule Congo matokeo mabaya kwake labda droo
Al alhy ndo watamsumbua kule Misri siunajua fitna za waarabu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameweka rekodi ya Ubingwa wa kihistoria Tanzania hakuna wa kuvunja
 
Na kufa kabisa sababu huwa hawachelewi. 🀣🀣🀣

Wa humu jf Network ndio zitakata yaani tutawaona after two or three days πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Hahahaha na smartphone zitakuwa zimeibwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…