Iko maeneo ya Sakina. Leo asubuhi nimeenda pale kunyoa nywele, ndevu na kufanyiwa mambo ya scrub usoni, sa yule mrembo aliyekuwa ananifanyia scrub akaniambia na massage ipo wanafanya na yeye ndiye mtaalamu. Kwa jinsi alivyonifanyia vizuri usoni nikapenda, wateja wa hii kitu mnafahamu jinsi wale warembo wanavyotekenya uzuri masikioni huku mwanaume umeegeshewa boobs mabegani, lazima utatamani afanye zaidi. Nikauliza bei nikajibiwa 30,000 per hour, nikatafakari nikaona hebu nijaribu.
Mwanangu hiyo kitu usipimeeee! Humo ndani kunapendeza full manukato! Yaani kama zile za majuu ninazoonaga kwenye movie. Hiyo huduma sasa. Ndipo nilipoelewa walipoandika bango lao nje kuwa wananyoa nywele aina zote ni kweli. Wamenyoa washkaji, koteee! Mengine sitaandika hapa maana hii ni public forum, lakini ni kweli mrembo yule amenifanyia full body massage kama anavyoita mwenyewe, kamalizia kule ambako kinyozi hakuona, kanikata kucha, kasugua nyayo, kanifanyia naniihii yaani mi naweza kusema ni balaa, hakyanani mtu unaweza kufilisika hivihivi!
Halafu saluni yenyewe ilivyo huwezi kuamini kabisa!
Mwanangu hiyo kitu usipimeeee! Humo ndani kunapendeza full manukato! Yaani kama zile za majuu ninazoonaga kwenye movie. Hiyo huduma sasa. Ndipo nilipoelewa walipoandika bango lao nje kuwa wananyoa nywele aina zote ni kweli. Wamenyoa washkaji, koteee! Mengine sitaandika hapa maana hii ni public forum, lakini ni kweli mrembo yule amenifanyia full body massage kama anavyoita mwenyewe, kamalizia kule ambako kinyozi hakuona, kanikata kucha, kasugua nyayo, kanifanyia naniihii yaani mi naweza kusema ni balaa, hakyanani mtu unaweza kufilisika hivihivi!
Halafu saluni yenyewe ilivyo huwezi kuamini kabisa!