Hii saluni imeniacha hooooooi

Hii saluni imeniacha hooooooi

Mtu B

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2008
Posts
919
Reaction score
53
Iko maeneo ya Sakina. Leo asubuhi nimeenda pale kunyoa nywele, ndevu na kufanyiwa mambo ya scrub usoni, sa yule mrembo aliyekuwa ananifanyia scrub akaniambia na massage ipo wanafanya na yeye ndiye mtaalamu. Kwa jinsi alivyonifanyia vizuri usoni nikapenda, wateja wa hii kitu mnafahamu jinsi wale warembo wanavyotekenya uzuri masikioni huku mwanaume umeegeshewa boobs mabegani, lazima utatamani afanye zaidi. Nikauliza bei nikajibiwa 30,000 per hour, nikatafakari nikaona hebu nijaribu.

Mwanangu hiyo kitu usipimeeee! Humo ndani kunapendeza full manukato! Yaani kama zile za majuu ninazoonaga kwenye movie. Hiyo huduma sasa. Ndipo nilipoelewa walipoandika bango lao nje kuwa wananyoa nywele aina zote ni kweli. Wamenyoa washkaji, koteee! Mengine sitaandika hapa maana hii ni public forum, lakini ni kweli mrembo yule amenifanyia full body massage kama anavyoita mwenyewe, kamalizia kule ambako kinyozi hakuona, kanikata kucha, kasugua nyayo, kanifanyia naniihii yaani mi naweza kusema ni balaa, hakyanani mtu unaweza kufilisika hivihivi!

Halafu saluni yenyewe ilivyo huwezi kuamini kabisa!
 
Iko maeneo ya Sakina. Leo asubuhi nimeenda pale kunyoa nywele, ndevu na kufanyiwa mambo ya scrub usoni, sa yule mrembo aliyekuwa ananifanyia scrub akaniambia na massage ipo wanafanya na yeye ndiye mtaalamu. Kwa jinsi alivyonifanyia vizuri usoni nikapenda, wateja wa hii kitu mnafahamu jinsi wale warembo wanavyotekenya uzuri masikioni huku mwanaume umeegeshewa boobs mabegani, lazima utatamani afanye zaidi. Nikauliza bei nikajibiwa 30,000 per hour, nikatafakari nikaona hebu nijaribu.

Mwanangu hiyo kitu usipimeeee! Humo ndani kunapendeza full manukato! Yaani kama zile za majuu ninazoonaga kwenye movie. Hiyo huduma sasa. Ndipo nilipoelewa walipoandika bango lao nje kuwa wananyoa nywele aina zote ni kweli. Wamenyoa washkaji, koteee! Mengine sitaandika hapa maana hii ni public forum, lakini ni kweli mrembo yule amenifanyia full body massage kama anavyoita mwenyewe, kamalizia kule ambako kinyozi hakuona, kanikata kucha, kasugua nyayo, kanifanyia naniihii yaani mi naweza kusema ni balaa, hakyanani mtu unaweza kufilisika hivihivi!

Halafu saluni yenyewe ilivyo huwezi kuamini kabisa!

kwa ulivyosifia, nina hakika umeshaiingiza kwenye budget yako. No way out!
 
Mh! Naiona ndoa yako ileee umeiacha hatua tano tayari (if married), mkeo huwa hakuoni kuwa una machaka kweli?
Umeshindwa kueleza vyema nahisi hata umefanya uchakachuaji, maradhi nayo yalee yanakusogelea mana sina hakika kama jezi ilikuwa karibu.
Kama hujaoa tayari umeshakamatika, jitahidi ufanyiwe massage tu na si vinginevyo mkubwa.
 
Mh! Naiona ndoa yako ileee umeiacha hatua tano tayari (if married), mkeo huwa hakuoni kuwa una machaka kweli?
Umeshindwa kueleza vyema nahisi hata umefanya uchakachuaji, maradhi nayo yalee yanakusogelea mana sina hakika kama jezi ilikuwa karibu.
Kama hujaoa tayari umeshakamatika, jitahidi ufanyiwe massage tu na si vinginevyo mkubwa.
Sijaoa, so hakuna ndoa iliyoko hatarini. Hata hivyo ni massage tu ndugu yangu, believe you me, ila raha yake usipime!
 
Iko maeneo ya Sakina. Leo asubuhi nimeenda pale kunyoa nywele, ndevu na kufanyiwa mambo ya scrub usoni, sa yule mrembo aliyekuwa ananifanyia scrub akaniambia na massage ipo wanafanya na yeye ndiye mtaalamu. Kwa jinsi alivyonifanyia vizuri usoni nikapenda, wateja wa hii kitu mnafahamu jinsi wale warembo wanavyotekenya uzuri masikioni huku mwanaume umeegeshewa boobs mabegani, lazima utatamani afanye zaidi. Nikauliza bei nikajibiwa 30,000 per hour, nikatafakari nikaona hebu nijaribu.

Mwanangu hiyo kitu usipimeeee! Humo ndani kunapendeza full manukato! Yaani kama zile za majuu ninazoonaga kwenye movie. Hiyo huduma sasa. Ndipo nilipoelewa walipoandika bango lao nje kuwa wananyoa nywele aina zote ni kweli. Wamenyoa washkaji, koteee! Mengine sitaandika hapa maana hii ni public forum, lakini ni kweli mrembo yule amenifanyia full body massage kama anavyoita mwenyewe, kamalizia kule ambako kinyozi hakuona, kanikata kucha, kasugua nyayo, kanifanyia naniihii yaani mi naweza kusema ni balaa, hakyanani mtu unaweza kufilisika hivihivi!

Halafu saluni yenyewe ilivyo huwezi kuamini kabisa!
Mkuu, eleza vizuri...Sakina sehemu gani,..ni Silent, Darajani, au Sakina Bar?
Kuna watu wanaonyesha interest hapa kutokana na Marketing Strategy yako!!
 
HELOOW TO ALL MEMBERS,UM TULACOMPLEX,AND NEW HERE....
Em nambie bro,kwenye hiyo saluni ni watoto wa kiume tu ndo wanahudumiwa?wanawake wanapata hizo huduma kwa warembo wenzao,ama kuna wakaka wanatoa service iyo??
 
Mkuu, eleza vizuri...Sakina sehemu gani,..ni Silent, Darajani, au Sakina Bar?
Kuna watu wanaonyesha interest hapa kutokana na Marketing Strategy yako!!

Sina marketing strategy mkuu, kwa hiyo siwezi kutoa details kwenye open forum maana sina makubaliano yoyote na mwenye biashara ile. Lakini kama kuna mtu anataka akiniuliza naweza kumuelekeza kirafiki, PM only. Siko kibiashara wakuu nisieleweke vibaya.
 
HELOOW TO ALL MEMBERS,UM TULACOMPLEX,AND NEW HERE....
Em nambie bro,kwenye hiyo saluni ni watoto wa kiume tu ndo wanahudumiwa?wanawake wanapata hizo huduma kwa warembo wenzao,ama kuna wakaka wanatoa service iyo??

Ni saluni ya wanaume, kunyoa nywele na ndevu. Wapo wahudumu wa kiume na wa kike. Wahudumu wa kiume ni vinyozi tu, wa nywele na ndevu. Wale wa kike wanashughulika na scrub usoni, na leo nimegundua wanafanya na massage pia. Siku zote nilizohudhuria pale sijapata kuona wateja wa kike.
 
Ulivyotusimulia leo ndivyo hivyohivyo uje utusimulie ukirudi mara nyingine na nyingine. Navyoelewa mimi wamekukaribisha na wana hakika utarudi,watakukamata tu.kama hutaki matatizo achana na mambo hayo.mwambie gf wako akufanyie huduma hiyo tena utaenjoy zaidi.
 
Kwa wale wa Dar, mimi hupata huduma hizi pale BM Saloon Kinondoni, ila hapa ni huduma za ukweli zinazoendeshwa na wataalamu, hivyo hakuna mambo yoyote ya ajabu ajabu na bei yao ni 20,000 tuu!. Mimi hufanyiwa kila Jumamosi ila foleni huwa ndefu hivyo baada ya kuja mara ya kwanza, lazima ufanye booking kwa simu vinginevyo hupati nafasi, wako full booked!.
 
We limbukeni kweli haya subiri lile gonjwa kama hutoacha kwenda hapo!
 
Iko maeneo ya Sakina. Leo asubuhi nimeenda pale kunyoa nywele, ndevu na kufanyiwa mambo ya scrub usoni, sa yule mrembo aliyekuwa ananifanyia scrub akaniambia na massage ipo wanafanya na yeye ndiye mtaalamu. Kwa jinsi alivyonifanyia vizuri usoni nikapenda, wateja wa hii kitu mnafahamu jinsi wale warembo wanavyotekenya uzuri masikioni huku mwanaume umeegeshewa boobs mabegani, lazima utatamani afanye zaidi. Nikauliza bei nikajibiwa 30,000 per hour, nikatafakari nikaona hebu nijaribu.

Mwanangu hiyo kitu usipimeeee! Humo ndani kunapendeza full manukato! Yaani kama zile za majuu ninazoonaga kwenye movie. Hiyo huduma sasa. Ndipo nilipoelewa walipoandika bango lao nje kuwa wananyoa nywele aina zote ni kweli. Wamenyoa washkaji, koteee! Mengine sitaandika hapa maana hii ni public forum, lakini ni kweli mrembo yule amenifanyia full body massage kama anavyoita mwenyewe, kamalizia kule ambako kinyozi hakuona, kanikata kucha, kasugua nyayo, kanifanyia naniihii yaani mi naweza kusema ni balaa, hakyanani mtu unaweza kufilisika hivihivi!

Halafu saluni yenyewe ilivyo huwezi kuamini kabisa!

...hehe...ndio utandawazi huo. Hebu ni PM hayo maeneo bana manjagu wasijekwenda kupafungia kama walivyonikosesha huduma kwa wale wachina.
Misuli imechoka hii, nahitaji full body massage.
 
Ni saluni ya wanaume, kunyoa nywele na ndevu. Wapo wahudumu wa kiume na wa kike. Wahudumu wa kiume ni vinyozi tu, wa nywele na ndevu. Wale wa kike wanashughulika na scrub usoni, na leo nimegundua wanafanya na massage pia. Siku zote nilizohudhuria pale sijapata kuona wateja wa kike.

...kwani wanasema? wao wanazo saloon zao zenye 'body' massage vile vile, lakini wanaona wakisema ukweli mzee mzima utashtuka, utakataa next time aende mwenyewe. Msasani pale...eee noma.
Walkianzia na kusukwa na wanaume wa kikongo, sasa jamaa wanafanya na massage....
 
...kwani wanasema? wao wanazo saloon zao zenye 'body' massage vile vile, lakini wanaona wakisema ukweli mzee mzima utashtuka, utakataa next time aende mwenyewe. Msasani pale...eee noma.
Walkianzia na kusukwa na wanaume wa kikongo, sasa jamaa wanafanya na massage....

Duh! Hatari hiyo sasa! Kumbe wazo langu la kumsindikiza Mama Mbugua saloon mara kwa mara ni zuri eeh? Lakini miye wa mwaka 47 na mamsapu halikadhalika, sijawahi kuwa na mashaka yoyote, huwa namsindikiza kwa upendo tu.
 
Ukiacha hiyo ya BM kuna nyingine bomba hapa dar? Nataka kufanyiwa hiyo huduma wandugu
 
Iko maeneo ya Sakina. Leo asubuhi nimeenda pale kunyoa nywele, ndevu na kufanyiwa mambo ya scrub usoni, sa yule mrembo aliyekuwa ananifanyia scrub akaniambia na massage ipo wanafanya na yeye ndiye mtaalamu. Kwa jinsi alivyonifanyia vizuri usoni nikapenda, wateja wa hii kitu mnafahamu jinsi wale warembo wanavyotekenya uzuri masikioni huku mwanaume umeegeshewa boobs mabegani, lazima utatamani afanye zaidi. Nikauliza bei nikajibiwa 30,000 per hour, nikatafakari nikaona hebu nijaribu.

Mwanangu hiyo kitu usipimeeee! Humo ndani kunapendeza full manukato! Yaani kama zile za majuu ninazoonaga kwenye movie. Hiyo huduma sasa. Ndipo nilipoelewa walipoandika bango lao nje kuwa wananyoa nywele aina zote ni kweli. Wamenyoa washkaji, koteee! Mengine sitaandika hapa maana hii ni public forum, lakini ni kweli mrembo yule amenifanyia full body massage kama anavyoita mwenyewe, kamalizia kule ambako kinyozi hakuona, kanikata kucha, kasugua nyayo, kanifanyia naniihii yaani mi naweza kusema ni balaa, hakyanani mtu unaweza kufilisika hivihivi!

Halafu saluni yenyewe ilivyo huwezi kuamini kabisa!
ayaaa ushaitia JANABA jumapili yangu.
Ngoja nifunge safari kuja arusha just kwa hako karaha ka dakika chache.
Umesema amenyoa au amenyonya mpaka nywele zipi vile?

Next time hizi meseji uwe unatutumia kwenye PM la sivyo akina preta et all wataanzisha zogo hapa
 
Back
Top Bottom