Pre GE2025 Hii Samia challenge inayofanyika Instagram ndiyo tusemehe uchawa wa viwango vya kimataifa?

Pre GE2025 Hii Samia challenge inayofanyika Instagram ndiyo tusemehe uchawa wa viwango vya kimataifa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
3,411
Reaction score
4,435
Huko Instagram kuna kitu wanafanya challenge eti wanaita Samia challenge, wanashindana kuvaa ushungi na vimiwani kama Raisi πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Ingekua Mimi ni huyu mama ningefanya kama Kagame au Mugabe, naburuza hadi nichoke mimi, sasa kama watu maarufu NI kama maiti unaburuza tuu, raia asilimia kubwa hawajielewi kwanini nisifanye hivyo?! πŸ˜†πŸ˜†

Kuna jamaa langu Jana eti linamsifia Abdul kua " jamaa ana hela aisee Yule anakula maisha, Acha ale maisha hata riziwani alikula Sana " 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 mtu anaesema hivyo maisha yamemchapa kachakaa mbaya

Hii nchi hata iuzwe yote ibaki mikoa mitatu Tu watu maarufu na machawa NI kama maiti tuu watasapoti tuu, NI kama hawana ubongo kwenye vichwa kuna matope
 
Huko Instagram kuna kitu wanafanya challenge eti wanaita Samia challenge, wanashindana kuvaa ushungi na vimiwani kama Raisi πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Hii nchi ya kis*Nge Sana aiseee πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Ingekua Mimi ni huyu mama ningefanya kama kagame au Mugabe, naburuza Hadi Nichoke Mimi, sasa kama watu maarufu NI kama maiti unaburuza tuu, raia asilimia kubwa hawajielewi kwanini nisifanye hivyo?! πŸ˜†πŸ˜†

Kuna jamaa langu Jana eti linamsifia Abdul kua " jamaa ana hela aisee Yule anakula maisha, Acha ale maisha hata riziwani alikula Sana " 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 mtu anaesema hivyo maisha yamemchapa kachakaa mbaya

Hii nchi hata iuzwe yote ibaki mikoa mitatu Tu watu maarufu na machawa NI kama MAITI TUU watasapoti tuu, NI kama hawana ubongo kwenye vichwa kuna MAVI AU MATOPE
Nchi imelogwa na mwenge
 
Huko Instagram kuna kitu wanafanya challenge eti wanaita Samia challenge, wanashindana kuvaa ushungi na vimiwani kama Raisi πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Ingekua Mimi ni huyu mama ningefanya kama kagame au Mugabe, naburuza Hadi Nichoke Mimi, sasa kama watu maarufu NI kama maiti unaburuza tuu, raia asilimia kubwa hawajielewi kwanini nisifanye hivyo?! πŸ˜†πŸ˜†

Kuna jamaa langu Jana eti linamsifia Abdul kua " jamaa ana hela aisee Yule anakula maisha, Acha ale maisha hata riziwani alikula Sana " 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 mtu anaesema hivyo maisha yamemchapa kachakaa mbaya

Hii nchi hata iuzwe yote ibaki mikoa mitatu Tu watu maarufu na machawa NI kama maiti tuu watasapoti tuu, NI kama hawana ubongo kwenye vichwa kuna matope
Wasiishie kuvaa ushungi na miwani pekee, warnde mbele zaidi kwa kuteka watu na wengine kuwaua kabisa, happ challenge itanoga.
 
MIMI NILIANDIKA SAMIA CHALLENGE KWENYE KIICHWA CHA HABARI, JAMII FORUMS MME EDIT LEO JAMIIFORUMS MMENIFURAHISHA SANA MMEPIGA KWENYE MSHONO
 
Huko Instagram kuna kitu wanafanya challenge eti wanaita Samia challenge, wanashindana kuvaa ushungi na vimiwani kama Raisi πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Ingekua Mimi ni huyu mama ningefanya kama Kagame au Mugabe, naburuza hadi nichoke mimi, sasa kama watu maarufu NI kama maiti unaburuza tuu, raia asilimia kubwa hawajielewi kwanini nisifanye hivyo?! πŸ˜†πŸ˜†

Kuna jamaa langu Jana eti linamsifia Abdul kua " jamaa ana hela aisee Yule anakula maisha, Acha ale maisha hata riziwani alikula Sana " 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 mtu anaesema hivyo maisha yamemchapa kachakaa mbaya

Hii nchi hata iuzwe yote ibaki mikoa mitatu Tu watu maarufu na machawa NI kama maiti tuu watasapoti tuu, NI kama hawana ubongo kwenye vichwa kuna matope
Mada nyingine yenye machungu na kulialia. Ukilalamika sana unaweza kujikuta ukisahau kuishi.
 
Umaarufu wao umetokana na nini? Anzia hapo kwanza.

Ki vyovyote vile tumpe Rais sapoti yetu
 
Back
Top Bottom