jitupori
Senior Member
- Feb 22, 2015
- 199
- 77
Leo nlikuwa zangu nachat facebook!!!.... mara meseji ikaingia
Kufungua nakutana na smm kutoka kwa binti
Binti: vepe mzm ww
Mimi:me nko pw xijui ww
Binti:me mzm duh umenisusa wangu
Nikaona huu xx utata nikaamua kuto reply.
Baada ya dakika 7
Binti: vepe wangu umekula??
Mimi: ndiyo nakula xaxa hv karibu
Binti: asante.ntumie elfu5 nkanunue chipsi
Mimi:[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Kufungua nakutana na smm kutoka kwa binti
Binti: vepe mzm ww
Mimi:me nko pw xijui ww
Binti:me mzm duh umenisusa wangu
Nikaona huu xx utata nikaamua kuto reply.
Baada ya dakika 7
Binti: vepe wangu umekula??
Mimi: ndiyo nakula xaxa hv karibu
Binti: asante.ntumie elfu5 nkanunue chipsi
Mimi:[emoji124] [emoji124] [emoji124]