Hii sasa ni Dharau kwa MaMiss wetu....

Hii sasa ni Dharau kwa MaMiss wetu....

Ila wamelirudisha
IMG-20180803-WA0002.jpg
 
Nilivyoiona nimecheka sana, yaani wameshindwa hata kununua rim mpya za tairi
 
Washairudisha walikua wanatest km bado tuko macho, ila ni poa maana tusingelalamika angepewa dadake mtu hilo screpa
 
Write your reply...
Japo watabadilisha tairi tu,kununua gari mpya Kwa usawa wa siyo kitu rahisi
 
K watoe wengine Gari wakose huo ni Ujinga tu mabinti watafute cha kufanya sio hizo
 
Angalia hii zawadi ya Miss Kanda ya Ziwa 2018 (Miss Lake Zone) ifike wakati sasa tuache kuwadhalilisha mabinti zetu tunaua morali na vipaji kwa upuuzi kama huu....#WTFView attachment 825629View attachment 825630
UPDATES
==============
Baada ya Picha ya gari kimeo kwa ajili ya zawadi ya miss kanda ya ziwa kusambaa mitandaoni....

Waandaaji wa Miss Tanzania, The Look Company kupitia kwa Mkurugenzi wake Basilla Mwanukuzi wameikataa zawadi hiyo ya gari aina ya Passo yenye thamani ya shilingi Milioni 8,kwa mujibu wa Mwanukuzi amesema wameandikia barua waandaaji wa Miss Lake Zone kuwa wabadilishe zawadi hiyo huku nakala ya barua hiyo pia ikipelekwa BASATA.

Mwanukuzi amesema waandaaji wadogo wadogo wa mashindano kama hayo hawana ulazima wa kutoa zawadibkubwabkubwa na badala yake wanatakiwa kuwaandaa na kutafuta warembo kwa ajili ya mashindano makubwa ya Kitaifa.

Mashindano hayo ya miss Lake Zone yanatarajia kufanyika keshoJumamosi, august 4,jijini Mwanza.
Zawadi ni zawadi kwani wanawadhalilisha vipi ,hivi wwe ukipewa gari kama hiyo wakati hata baiskeli huna utaikataa,kwa kazi gani hadi mtu apewe gari jipya?kwa kukenua meno na kuonyesha vyupi?fanya kazi pata gari jipya,kenua meno pata gari mtumba,hapa hakuna dharau,wewe mleta uzi ndie unaleta dharau
 
ila hao mamiss mnawadekeza sana yani kupita pita tu mbele na kutuonyesha nguo ndo tuwape Gari?hizi ndo dharau sasa . Au mimi sielewagi?
 
Ukiona hivyo , huyo miss aliyeshinda pia ni used tu
 
Back
Top Bottom