Hii Serikali imefeli kwenye usalama

Hii Serikali imefeli kwenye usalama

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Niwe mkweli serikali ya CCM Chini ya Rais Samiah imefeli kwenye suala la Usalama kabisa. Kwa Sasa inteligensia ya Polisi ipo Chini kabisa. Uhalifu unafanyika na Wala polisi hawana taarifa ya uhalifu huo na hata ukiwapelekea taarifa hawaufanyii kazi.

Kwa mfano kifo Cha Samwaja huko Singida. Mtu anatekwa mpaka kuuawa polisi hawashtuki mpaka taarifa zitoke kwenye mtandao ndio wanaanza kuchukua hatua. Au Binti kubakwa na watu SITA bila polisi kugundua mpaka wananchi walipotoa taarifa mitandaoni kuhusu unyama ndipo polisi wakaanza upelelezi.

Kuna taarifa imeibuka ya kwamba ndugu Gerald Ibrahim mkazi wa Uvunza ametekwa na watu wasiojulikana na haijulikani yupo wapi maana hayupo kwenye custody ya polisi. Hii sio sawa , kazi ya polisi ni kulinda raia na Mali zake na sio kuwaumiza kwa ujinga wanazofanya .

Cha kusikitisha zaidi, Kuna watu wanatumia Ikulu kutapeli watu lakini polisi ipo kimya bila kuchukua hatua . Ni muda Sasa Polisi ifanye kazi yake, la sivyo Kuna watu watapata mwanya na kufanya uhalifu usipiopimika na ambao utashangaza watu wengi, Kama ilivyofanyika nchini Kenya kana shakahola au mauaji ya kawangware.

Jeshi la polisi mna nafasi ya kujirekebisha kabla hii Hali haijazoeleka na kuonekana ya kawaida.
 
Kuna muda viroba ambavyo ndani yake kulikuwa na watu vilikuwa vinaokotwa mto Ruvu na Rufiji kipindi cha awamu ya tano..Najiuliza wale watu walikuwa ni majambazi au wananchi wa kawaida?
 
Polisi wanaendeshwa na njaa.
Wazalendo wa hii nchi hawapo kwenye vyombo vya usalama , mifumo ya majeshi imejazana ndugu tu wanakula mishahara.
Waombe hii nchi iendelee kutulia hivi hivi,, siku italipuka wengi wataficha magwanda maana uzalendo hawana.
 
Kuna muda viroba ambavyo ndani yake kulikuwa na watu vilikuwa vinaokotwa mto Ruvu na Rufiji kipindi cha awamu ya tano..Najiuliza wale watu walikuwa ni majambazi au wananchi wa kawaida?

Wale walikuwa ni polisi, sio wananchi wa kawaida. Ndio maana Jambo like lilipita kimya kimya.
 
Polisi wanaendeshwa na njaa.
Wazalendo wa hii nchi hawapo kwenye vyombo vya usalama , mifumo ya majeshi imejazana ndugu tu wanakula mishahara.
Waombe hii nchi iendelee kutulia hivi hivi,, siku italipuka wengi wataficha magwanda maana uzalendo hawana.

Ni kweli kabisa , polisi wa nchi hii Wana njaa.
 
Sio hawana taarifa serikali ya CHURA inaruhusu kila mtumishi kula kwa urefu w kamba yako!
 
Niwe mkweli serikali ya CCM Chini ya Rais Samiah imefeli kwenye suala la Usalama kabisa. Kwa Sasa inteligensia ya Polisi ipo Chini kabisa. Uhalifu unafanyika na Wala polisi hawana taarifa ya uhalifu huo na hata ukiwapelekea taarifa hawaufanyii kazi.

Kwa mfano kifo Cha Samwaja huko Singida. Mtu anatekwa mpaka kuuawa polisi hawashtuki mpaka taarifa zitoke kwenye mtandao ndio wanaanza kuchukua hatua. Au Binti kubakwa na watu SITA bila polisi kugundua mpaka wananchi walipotoa taarifa mitandaoni kuhusu unyama ndipo polisi wakaanza upelelezi.

Kuna taarifa imeibuka ya kwamba ndugu Gerald Ibrahim mkazi wa Uvunza ametekwa na watu wasiojulikana na haijulikani yupo wapi maana hayupo kwenye custody ya polisi. Hii sio sawa , kazi ya polisi ni kulinda raia na Mali zake na sio kuwaumiza kwa ujinga wanazofanya .

Cha kusikitisha zaidi, Kuna watu wanatumia Ikulu kutapeli watu lakini polisi ipo kimya bila kuchukua hatua . Ni muda Sasa Polisi ifanye kazi yake, la sivyo Kuna watu watapata mwanya na kufanya uhalifu usipiopimika na ambao utashangaza watu wengi, Kama ilivyofanyika nchini Kenya kana shakahola au mauaji ya kawangware.

Jeshi la polisi mna nafasi ya kujirekebisha kabla hii Hali haijazoeleka na kuonekana ya kawaida.
Mfumo CCM umefeli tuukatae.
 
Niwe mkweli serikali ya CCM Chini ya Rais Samiah imefeli kwenye suala la Usalama kabisa. Kwa Sasa inteligensia ya Polisi ipo Chini kabisa. Uhalifu unafanyika na Wala polisi hawana taarifa ya uhalifu huo na hata ukiwapelekea taarifa hawaufanyii kazi.

Kwa mfano kifo Cha Samwaja huko Singida. Mtu anatekwa mpaka kuuawa polisi hawashtuki mpaka taarifa zitoke kwenye mtandao ndio wanaanza kuchukua hatua. Au Binti kubakwa na watu SITA bila polisi kugundua mpaka wananchi walipotoa taarifa mitandaoni kuhusu unyama ndipo polisi wakaanza upelelezi.

Kuna taarifa imeibuka ya kwamba ndugu Gerald Ibrahim mkazi wa Uvunza ametekwa na watu wasiojulikana na haijulikani yupo wapi maana hayupo kwenye custody ya polisi. Hii sio sawa , kazi ya polisi ni kulinda raia na Mali zake na sio kuwaumiza kwa ujinga wanazofanya .

Cha kusikitisha zaidi, Kuna watu wanatumia Ikulu kutapeli watu lakini polisi ipo kimya bila kuchukua hatua . Ni muda Sasa Polisi ifanye kazi yake, la sivyo Kuna watu watapata mwanya na kufanya uhalifu usipiopimika na ambao utashangaza watu wengi, Kama ilivyofanyika nchini Kenya kana shakahola au mauaji ya kawangware.

Jeshi la polisi mna nafasi ya kujirekebisha kabla hii Hali haijazoeleka na kuonekana ya kawaida.
Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuachaa
Kuna watu kuteka wenzao kwao ni fursa maana ndiyo humo wanapatia viposhoposho hata kama ni kwa kusingizia
 
Niwe mkweli serikali ya CCM Chini ya Rais Samiah imefeli kwenye suala la Usalama kabisa. Kwa Sasa inteligensia ya Polisi ipo Chini kabisa. Uhalifu unafanyika na Wala polisi hawana taarifa ya uhalifu huo na hata ukiwapelekea taarifa hawaufanyii kazi.

Kwa mfano kifo Cha Samwaja huko Singida. Mtu anatekwa mpaka kuuawa polisi hawashtuki mpaka taarifa zitoke kwenye mtandao ndio wanaanza kuchukua hatua. Au Binti kubakwa na watu SITA bila polisi kugundua mpaka wananchi walipotoa taarifa mitandaoni kuhusu unyama ndipo polisi wakaanza upelelezi.

Kuna taarifa imeibuka ya kwamba ndugu Gerald Ibrahim mkazi wa Uvunza ametekwa na watu wasiojulikana na haijulikani yupo wapi maana hayupo kwenye custody ya polisi. Hii sio sawa , kazi ya polisi ni kulinda raia na Mali zake na sio kuwaumiza kwa ujinga wanazofanya .

Cha kusikitisha zaidi, Kuna watu wanatumia Ikulu kutapeli watu lakini polisi ipo kimya bila kuchukua hatua . Ni muda Sasa Polisi ifanye kazi yake, la sivyo Kuna watu watapata mwanya na kufanya uhalifu usipiopimika na ambao utashangaza watu wengi, Kama ilivyofanyika nchini Kenya kana shakahola au mauaji ya kawangware.

Jeshi la polisi mna nafasi ya kujirekebisha kabla hii Hali haijazoeleka na kuonekana ya kawaida.
Polisi ndio wanaoongoza kwa uhalifu...shida ya nchi hii waliopaswa kuwa wana usalama wapo uraiani ila wahalifu ndio wana usalama
 
Hali iko hivi
 

Attachments

  • IMG-20240824-WA0000.jpg
    IMG-20240824-WA0000.jpg
    60 KB · Views: 3
Niwe mkweli serikali ya CCM Chini ya Rais Samiah imefeli kwenye suala la Usalama kabisa. Kwa Sasa inteligensia ya Polisi ipo Chini kabisa. Uhalifu unafanyika na Wala polisi hawana taarifa ya uhalifu huo na hata ukiwapelekea taarifa hawaufanyii kazi.
Siyo kweli mkuu. Utekaji na mauaji haya yanafanywa kwa maagizo na maelekezo ya serikali. Na muasisi wa ushenzi huu ni jiwe.
 
Kuna muda viroba ambavyo ndani yake kulikuwa na watu vilikuwa vinaokotwa mto Ruvu na Rufiji kipindi cha awamu ya tano..Najiuliza wale watu walikuwa ni majambazi au wananchi wa kawaida?
Kwa sasa wamebadiri mbinu,wanawaleta kwenye mto Ruaha mkuu huko karibi na crocodile camp Kuna kamgodi flani hivi kadogo ndo wajanja wanakuja kuwatupa huko ili ionekane ni mgogoro wa mgodini
 
Siyo kweli mkuu. Utekaji na mauaji haya yanafanywa kwa maagizo na maelekezo ya serikali. Na muasisi wa ushenzi huu ni jiwe.
So Jiwe bado anaendelea kutoa maelekezo kutoka huko aliko na maagizo yake yanaheshimiwa ???!

😂😂😂. Kama ni hivyo Basi Kazi tunayo 😱🤦🏽‍♂️
 
Back
Top Bottom