Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sijawahi kusikiliza sera ya mgombea yeyote yule ila kura yangu ni CHADEMAHuyo Mwalimu ukimsikiliza tu ujue Tayari kura yako ameshaichukua
Ameshakula nyingi sana.Huyo Mwalimu ukimsikiliza tu ujue Tayari kura yako ameshaichukua
CHADEMA imeleta tumaini mahali penye msononeko.Mwaka huu Chadema wamenifurahisha sn
Dah mpaka Nachingwea nanayoijua imekuwa hivi aiseee?Nachingwea mkuu. Ni hatari, yaani kwa mwendo huu CCM inafutika kabisa huko Kusini mwa Tanzania.
Hatari sana, CCM hawana chao tenaUkiona watu walivyofurahi mwishoni mwa hotuba ya Mgombea mwenza wa Nafasi ya urais kwa tiketi ya CHADEMA unapata hisia za matumaini ya ukombozi wa watu toka makucha ya CCM.
Hata Mbeya mlisema hivyo lakini alipotua mwamba huko mkapoteanaHuko Kusini CCM inapumulia mipira.
Hawataki hata kuisikia. Meko asijisumbue kwenda huko ataambulia aibu.
Alipoleta wasanii na usani wa bodaboda ndio unajisifu?Hata Mbeya mlisema hivyo lakini alipotua mwamba huko mkapoteana