Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,198
- 3,950
Biblia ina sema...CCM ya Magufuli imekataliwa Tanganyika na Zanzibar, Duniani na Mbinguni.
#NIYEYE [emoji1422][emoji1422][emoji1422][emoji1422][emoji1422]
"Mkataeni Shetani na Kazi zake zote"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biblia ina sema...CCM ya Magufuli imekataliwa Tanganyika na Zanzibar, Duniani na Mbinguni.
#NIYEYE [emoji1422][emoji1422][emoji1422][emoji1422][emoji1422]
Chadema wanazichanga karata vizuri huko KUSINIHuko Kusini CCM inapumulia mipira.
Hawataki hata kuisikia. Meko asijisumbue kwenda huko ataambulia aibu.
Tangu akiwa Lyamungo sekondari.Salumu Mwalimu ni moto wa kuotea mbali toka akiwa mtangazaji wa chanel ten anashusha nondo za kufa mtu.
Hii mikutano inatuma ujume mkubwa kwa wakalia viti,watu wanazitaka haki zao,na hao wanaodhani kuwa wamesimama waangalie wasije kuwa wameanguka siku nyingi ila hawajitambui.Ukiona watu walivyofurahi mwishoni mwa hotuba ya Mgombea mwenza wa Nafasi ya urais kwa tiketi ya CHADEMA unapata hisia za matumaini ya ukombozi wa watu toka makucha ya CCM.
unaijua juhudi iliyofanyika kuukusanya huo umati wa mzee baba,penye ukweli tuukubari tu kuwa hawa jamaa 1. hawasombi mtu 2.watu wanawafuata,kuwasubiri hadi usiku. 3. baada ya mikutano wanawapa na pesa za kuwawezesha kusonga mbele.Hata Mbeya mlisema hivyo lakini alipotua mwamba huko mkapoteana
unaijua juhudi iliyofanyika kuukusanya huo umati wa mzee baba,penye ukweli tuukubari tu kuwa hawa jamaa 1. hawasombi mtu 2.watu wanawafuata,kuwasubiri hadi usiku. 3. baada ya mikutano wanawapa na pesa za kuwawezesha kusonga mbele.
kwako wewe haya yana maana ipi?
4. Hawana fiesta.unaijua juhudi iliyofanyika kuukusanya huo umati wa mzee baba,penye ukweli tuukubari tu kuwa hawa jamaa 1. hawasombi mtu 2.watu wanawafuata,kuwasubiri hadi usiku. 3. baada ya mikutano wanawapa na pesa za kuwawezesha kusonga mbele.
kwako wewe haya yana maana ipi?
Mm nimekaa nachingwea, imenishangaza sana, ila Dr. Motto wa CDM anachukua jimbo mapema sanaDah mpaka Nachingwea nanayoijua imekuwa hivi aiseee?
Dah mtihani sana.
Nachingwea kwa ninavyofahamu ni katika ngome kubwa ya CCM mpaka Jakaya mwemyewe anafahamu,lakini kwa hali hii hapanaa
Nimeshangaa sana wana nachingwea kwa muamko huu ilibidi nipige simu kuuliza mbona hivi ?Mm nimekaa nachingwea, imenishangaza sana, ila Dr. Motto wa CDM anachukua jimbo mapema sana
nakuambia siyo kazi rahisi wananchi wachangie wanasiasa ,hebu CCM wajaribu kwenye mikutano yao kama hawajachanga wale viongozi wakubwa tu wanaomwogopa maguDah maneno mazito haya yenye ukweli mchungu kwa wana-mtaa wa Lumumba kuwa wananchi wameamua sasa basi 2020 !
Babu yangu amenisimulia kuwa hivi hivi michango midogo midogo ya wananchi ndani ya "kapu la ukili " lilozungushwa kila baada ya mikutano ndiyo ilifanikisha Nyerere na timu yake kusonga mbele na kampeni na hatimaye Tanganyika kupata uhuru toka kwa mkoloni.