MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Usijali mkuu, hata hapa hujaeleweka ulichoandika.Mkuu ili niandike nisieleweke kama wewe nifanyeje?
Ngoja nikusimulie nilichokiona kwenye hiyo clip,Tunaotumia Free Basics Tufanyaje??
This is so weird, upagani kabisa huu kiukweli sijaelewa haja ya kuwekwa maibada ya baphomet na uwepo wa ''pope'' kwenye hiyo skit yao.... Inanikumbusha ila show ya kanye west aliyemleta Yesu jukwaani akiwa na msalaba na taji ya miba alafu akaanza kumkejeli, Yajayo yanasikitisha.Hii sherehe ilihurudhuriwa na viongozi wakubwa wa nchi za Ulaya. Kukafanywa maonyesho makubwa sana lakini hata kama tunasema ni sanaa lakini hii mimi sijaielewa kabisa, maana hakuna kinachofurahisha hapi aisee: Mimi siyo conspiracy theorist lakini kwa mwendo huu unadhani watu wataacha kuwaamini hawa conspiracy theorists ??? (Scary, sick, dark and twisted)
CC: Son of Gamba , mitale na midimu , zitto junior
Hey, Hornet how are you...Naona kama kuna matukio yameunganishwa hapo
Its just creepy, very creepy!This is so weird, upagani kabisa huu kiukweli sijaelewa haja ya kuwekwa maibada ya baphomet na uwepo wa ''pope'' kwenye hiyo skit yao.... Inanikumbusha ila show ya kanye west aliyemleta Yesu jukwaani akiwa na msalaba na taji ya miba alafu akaanza kumkejeli, Yajayo yanasikitisha.
Mkuu umepotezea uzi wangu kabisa huku, maana nimekuita hadi koo limekaukaIts just creepy, very creepy!
Am goodHey, Hornet how are you...
Are you Moana ???
πππππππ
πππUsijali mkuu, hata hapa hujaeleweka ulichoandika.
Watu na imani zao chief, inabidi uwaache tu.Nikisema papa ni agent wa shetani watu wanatoa povu
Jamani, why not ??Am good
No am not..