Hii shoo kasimamia Young D ama?

Young dee ni wa kuonewa huruma tu. ..yupo kwenye mtihani mzito acha apunguze stress kwa nyeupe tu
Hiyo scandal ya young dee ya ushoga hivi ni kweli? Vijana ambao ndio potential wanazidi kupotea.
 
Raha ya umbea shurt uhangaike we unaona tabu kuhamia thread ingine wakati warumi huwa anapanda gari kwenda kutafuta umbea, kuna siku alilala kwenye msiba usiomhusu (wa Adam kuambiana) ilmradi apate umbea ha ha ha

HA HA HA HA HA HA

Humu ndani ukiingia stress zote zinaisha hahahahaha..
 
Nani anaujua vizuri wimbo wa vuta nikuvute wa Fm Academia? Kuna verse ya A.Kabeza kaimba hivi nanukuu "ukitaka kujua ubaya na asili ya tamaa uliza vijana wadogo wadogo wanaofilwa...watoto wadogo wadogo huwa na tamaaa...ya kaisari mpe kaiasari ya Mungu pia mpe Mungu..."
 
Duuu kweli usanii wa bongo ni Njaa,Hivi Young D anashindwa kununua Mark 2 Grande GX 110? Video Vixen hawezi nunua GX110? Mil 8 zinawashinda hao watoa majicho na wabeba sembe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…