Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haupo sahihi. Ingekua hivyo yule binti wa chuo uliyekua unamuhudumia asingekubwaga kwa dharau kiasi kile,tena aliyekupindua ni kijana tu asiye na hela ya kutosha. [emoji23][emoji23][emoji23] pole bhana ushamba nao ni mzigoZote kelele tu,,ila mwanamke ni pesa.
Hakuna cha Mwanaume kujiamini wala sitaki pesa zake ..
Alright,, hit the roadIts okay to dream.
But dont attack the messenger, attack the message.
I am simply an innocent girl trying to teach simps like you how to be men.
Whats the difference by examples?The issue most men are trying to be "nice men" instead of being "good men"....wanaume unatakiwa uwe "gentleman" na sio kuwa "romantic man"....Let ladies be romantic and gents be gentle.
YaaniKwa pussy starving mweka mzab zab wa kwanza ila niukweli wengine wanaotaka picha za romance nitumie picha ukiwa romantic hey ??
Ok, message delivered (hopefully)Alright,, hit the road
Jazanda ndo nn?!Huyu Mwanamke anaakisi tabia za mama yake kabisa unawezaje kuanzisha mjadala chonganishi ilihali ungeweza kuuweka katika mfumo wa jazanda katika bongo za watu
Mwanamke ana Kawaida ya kumzoea na kujenga mapenzi na mwanaume yeyote aliyepo karibu nae zaidi Kwa muda mrefu,,Haupo sahihi. Ingekua hivyo yule binti wa chuo uliyekua unamuhudumia asingekubwaga kwa dharau kiasi kile,tena aliyekupindua ni kijana tu asiye na hela ya kutosha. [emoji23][emoji23][emoji23] pole bhana ushamba nao ni mzigo
SAWA utampata tuSimp defnition: 'Simp' is slang for a person (typically a man) who is desperate for the attention and affection of someone else (typically a woman)
Sensa 2022 inasema wanawakae ni wengi kuliko wanaume ila kwa ground huku hali ni tofauti aise.
Naamka asubuhi nakuta insta Dm 17, inbox unread 23 whatsap ndo usiseme Jf also never boring.
Kila kaka ukisalimiana nae anageuka comedian.
Wanaume wengi ni desperate for attention, hawajiamini. Akiwa hana hela hujigeuza comedian, akiwa nazo anakuwa hajiamini yeye kama yeye bali anaamini katika hela zake, so ni kuhonga hovyo hovyo tu au kukufanyia show off ujue anazo.
Hizo zote ni inferiority complex.
Men wengi sikuizi ni feminine asf.
Mi napenda mwanaume anayejiamini yeye kama yeye sio kutegemea pesa zake au vichekesho vyake, asiye na shobo na mwenye kujitambua nafasi yake.
Ni heri hata wakurya tata.
Sasa nachofanya nikiona ananiletea pigo za ki'she kujichekesha chekesha kutuma vikopa....nampa ndoige tu za uso, ni vizinga kwa kwenda mbele mpaka akili iwakae sawa.
To prove my point utashangaa wanajaa tena pm.
It seems most men are pussy starving.
Kila la kheri...Sasa nachofanya nikiona ananiletea pigo za ki'she kujichekesha chekesha kutuma vikopa....nampa ndoige tu za uso, ni vizinga kwa kwenda mbele mpaka akili iwakae sawa.
To whom? Ain't among the audienceOk, message delivered (hopefully)
Wanaume halisi tumechill na mke mmoja.Simp defnition: 'Simp' is slang for a person (typically a man) who is desperate for the attention and affection of someone else (typically a woman)
Sensa 2022 inasema wanawakae ni wengi kuliko wanaume ila kwa ground huku hali ni tofauti aise.
Naamka asubuhi nakuta insta Dm 17, inbox unread 23 whatsap ndo usiseme Jf also never boring.
Kila kaka ukisalimiana nae anageuka comedian.
Wanaume wengi ni desperate for attention, hawajiamini. Akiwa hana hela hujigeuza comedian, akiwa nazo anakuwa hajiamini yeye kama yeye bali anaamini katika hela zake, so ni kuhonga hovyo hovyo tu au kukufanyia show off ujue anazo.
Hizo zote ni inferiority complex.
Men wengi sikuizi ni feminine asf.
Mi napenda mwanaume anayejiamini yeye kama yeye sio kutegemea pesa zake au vichekesho vyake, asiye na shobo na mwenye kujitambua nafasi yake.
Ni heri hata wakurya tata.
Sasa nachofanya nikiona ananiletea pigo za ki'she kujichekesha chekesha kutuma vikopa....nampa ndoige tu za uso, ni vizinga kwa kwenda mbele mpaka akili iwakae sawa.
To prove my point utashangaa wanajaa tena pm.
It seems most men are pussy starving.
Una umri gani kijana?Ukweli ni kwamba Wanaume ni wengi kuliko wanawake, unaweza kujiamin na bado mwanamke akakukataa the main point mwanamke mpaka awe na hisia na wewe ndo atamkubalia mwanaume