Hii simping culture imekuwa too much now. Wanaume halisi wako wapi?

Hii simping culture imekuwa too much now. Wanaume halisi wako wapi?

Guess what has raised up all of this? 'Feminism'.

That men should be like women and women should also be as men.

Tunaishia kutengeneza jamii ya ukike kike. Jamii iliyojilegeza mno.

Serious and real men be noted as unromantic.

Wakati tunakubali mabadiliko hayo, unakuja tena kuanza kuwatafuta aina ya watu ambao jamii inawakimbia. Wanawake bhanah!.
Aliyeleta feminism ni nani? Its not women, It might be the freemasons.
 
Nyani haoni kundule,bahati mbaya tabia zenu wanawake ndizo zinafanya wanaume wengi kuwa hivyo.
 
Ugeugeu ndio kutoeleweka, hujulikani una misimamo ipi au unapenda kipi
Ugeugeu ndio kutoeleweka, hujulikani una misimamo ipi au unapenda kipi
Yani kifupi anakuwa na akili kama za kile CHAMA CHA
download.jpg

Sio!?
 
Aliyeleta feminism ni nani? Its not women, It might be the freemasons.
What is the motive behind feminism?

It is belitting men.

Kwenda kinyume na maagizo ya Mwenyenzi Mungu, kwamba mwanaume awe kichwa na mwanamke msaidizi.
Feminism imeletwa na wanawake wenyewe.

Freemasony?
Kwani hakuna wanawake ndani ya taasisi hiyo? Wapo. Sasa kwa nini unasema Feminism haijaletwa na wanawake as if Freemanson consists of only men?
 
Simp defnition: 'Simp' is slang for a person (typically a man) who is desperate for the attention and affection of someone else (typically a woman)

Sensa 2022 inasema wanawakae ni wengi kuliko wanaume ila kwa ground huku hali ni tofauti aise.

Naamka asubuhi nakuta insta Dm 17, inbox unread 23 whatsap ndo usiseme Jf also never boring.

Kila kaka ukisalimiana nae anageuka comedian.
Wanaume wengi ni desperate for attention, hawajiamini. Akiwa hana hela hujigeuza comedian, akiwa nazo anakuwa hajiamini yeye kama yeye bali anaamini katika hela zake, so ni kuhonga hovyo hovyo tu au kukufanyia show off ujue anazo.
Hizo zote ni inferiority complex.
Men wengi sikuizi ni feminine asf.

Mi napenda mwanaume anayejiamini yeye kama yeye sio kutegemea pesa zake au vichekesho vyake, asiye na shobo na mwenye kujitambua nafasi yake.

Ni heri hata wakurya tata.
Sasa nachofanya nikiona ananiletea pigo za ki'she kujichekesha chekesha kutuma vikopa....nampa ndoige tu za uso, ni vizinga kwa kwenda mbele mpaka akili iwakae sawa.

To prove my point utashangaa wanajaa tena pm.

It seems most men are pussy starving.
All men are pussy starving it is the law of nature. Ukikuta mwanaume anajiamini yeye kama yeye then hutazami kwa makini mara nyingi wanakuaga wamesifiwa sana na wanawake to the point that they are no longer insecure na hawa wanakuaga watembeza rungu balaaa.
Ushahuri wangu tafuta hao insecure they have something to lose
 
So kosa lipo kwetu?
Exactly tangu eden mwanaume kwa mwanamke ni mdhaifu,hao wanaume halisi unaowaulizia ni wa enzi zile za mama zetu wakiwa waadilifu sio zama hizi za mashangazi,sugar dady.
 
Simp defnition: 'Simp' is slang for a person (typically a man) who is desperate for the attention and affection of someone else (typically a woman)

Sensa 2022 inasema wanawakae ni wengi kuliko wanaume ila kwa ground huku hali ni tofauti aise.

Naamka asubuhi nakuta insta Dm 17, inbox unread 23 whatsap ndo usiseme Jf also never boring.

Kila kaka ukisalimiana nae anageuka comedian.
Wanaume wengi ni desperate for attention, hawajiamini. Akiwa hana hela hujigeuza comedian, akiwa nazo anakuwa hajiamini yeye kama yeye bali anaamini katika hela zake, so ni kuhonga hovyo hovyo tu au kukufanyia show off ujue anazo.
Hizo zote ni inferiority complex.
Men wengi sikuizi ni feminine asf.

Mi napenda mwanaume anayejiamini yeye kama yeye sio kutegemea pesa zake au vichekesho vyake, asiye na shobo na mwenye kujitambua nafasi yake.

Ni heri hata wakurya tata.
Sasa nachofanya nikiona ananiletea pigo za ki'she kujichekesha chekesha kutuma vikopa....nampa ndoige tu za uso, ni vizinga kwa kwenda mbele mpaka akili iwakae sawa.

To prove my point utashangaa wanajaa tena pm.

It seems most men are pussy starving.
Miaka 10 ijayo wakati una miaka 34, hizo dm zitapungua sana. Endelea kucheza kwenye mdomo wa mamba.

Hao wanaume unaowaita comedians, wanakufuata dm, nk kuna kitu wanakitafuta kutoka kwako! Na kwa bahati mbaya hicho kitu kitaendelea kupoteza ubora wake, kadiri miaka inavyozidi kwenda.

Time will tell young lady.
 
What is the motive behind feminism?

It is belitting men.

Kwenda kinyume na maagizo ya Mwenyenzi Mungu, kwamba mwanaume awe kichwa na mwanamke msaidizi.
Feminism imeletwa na wanawake wenyewe.

Freemasony?
Kwani hakuna wanawake ndani ya taasisi hiyo? Wapo. Sasa kwa nini unasema Feminism haijaletwa na wanawake as if Freemanson consists of only men?
Hapana, by the way feminism inavyokuwa pushed accross mainstream media ni wazi kabisa kuna kundi kubwa la watu wenye power wako behind
 
Back
Top Bottom