Hii simping culture imekuwa too much now. Wanaume halisi wako wapi?

Aliyeleta feminism ni nani? Its not women, It might be the freemasons.
 
Nyani haoni kundule,bahati mbaya tabia zenu wanawake ndizo zinafanya wanaume wengi kuwa hivyo.
 
Aliyeleta feminism ni nani? Its not women, It might be the freemasons.
What is the motive behind feminism?

It is belitting men.

Kwenda kinyume na maagizo ya Mwenyenzi Mungu, kwamba mwanaume awe kichwa na mwanamke msaidizi.
Feminism imeletwa na wanawake wenyewe.

Freemasony?
Kwani hakuna wanawake ndani ya taasisi hiyo? Wapo. Sasa kwa nini unasema Feminism haijaletwa na wanawake as if Freemanson consists of only men?
 
All men are pussy starving it is the law of nature. Ukikuta mwanaume anajiamini yeye kama yeye then hutazami kwa makini mara nyingi wanakuaga wamesifiwa sana na wanawake to the point that they are no longer insecure na hawa wanakuaga watembeza rungu balaaa.
Ushahuri wangu tafuta hao insecure they have something to lose
 
So kosa lipo kwetu?
Exactly tangu eden mwanaume kwa mwanamke ni mdhaifu,hao wanaume halisi unaowaulizia ni wa enzi zile za mama zetu wakiwa waadilifu sio zama hizi za mashangazi,sugar dady.
 
Miaka 10 ijayo wakati una miaka 34, hizo dm zitapungua sana. Endelea kucheza kwenye mdomo wa mamba.

Hao wanaume unaowaita comedians, wanakufuata dm, nk kuna kitu wanakitafuta kutoka kwako! Na kwa bahati mbaya hicho kitu kitaendelea kupoteza ubora wake, kadiri miaka inavyozidi kwenda.

Time will tell young lady.
 
Hapana, by the way feminism inavyokuwa pushed accross mainstream media ni wazi kabisa kuna kundi kubwa la watu wenye power wako behind
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…