Hii simping culture imekuwa too much now. Wanaume halisi wako wapi?

Kama mwanamke una akili za kuelewa hii ni comedy na hii ni kujikweza basi umeharibu sifa ya uanamke wako. Wanawake wa zamani walikuwa wanaambiwa mimi ni mtoto wa Bakresa anaingia kingi. Au ukinikubali nitafanya chochote kwa ajili yako anaamini. Hao ndo walikuwa wanawake kamili. Wewe mwanamke mwenye akili timamu hufai kwenye jamii. Sifa ya mwanamke ni kutokuwa na akili mbele ya mwanaume.
 
Jamani mnajieleza kwa huyu manzi ili,,?? [emoji23][emoji23] Nyie jaeni PM mjaribu bahati ameshasema wasi hapo juu you need cash to get some
 
Umesema vyedi
Na wewe ni mwanamke mwenye ASM ndo mana ID yako umeiname ivo
 
Noma sana.
 
Pumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…