Ha ha ha. Ujue mmezidisha ukatuniIbilisi akamfuata yule aliyejiita Mtakatifu Ivuga katika bustani alipokuwa amejilaza na wale mabinti.
Akawakuta wakiwa watupu. Ibilisi akamgeukia Bwana na kumuuliza," Bwana,huyu hapa ndiye yule Ivuga mtakatifu wako?"
Bwana akajibu," Ndiye yeye"
Ibilisi akauliza tena,"Hayo ayafanyayo ndio maagizo yako?"
Bwana akamjibu Ibilisi" Mwache Ivuga aijaze dunia. Kwani imenenwa NENDENI MKAIJAZE DUNIA"
JF:61:8/7/2017
Teh teh teh...kawaida hiyokwenye ubora wako
Tengeneza picha tu kichwani kutokana na avatar yake. [emoji23] [emoji23]Habari bila pic hainogi rafiki
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] hainogi zaidi ya pic realTengeneza picha tu kichwani kutokana na avatar yake. [emoji23] [emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] am sure kisura Inna mrembo wa kweli hapendi ukewenzaHawa ni wapendanao watatu ambao ni mzee mwenyewe Saint Ivuga na warembo wake wawili, wasichana wazuri kuliko wote hapa JF relato na Inna.
mwana Jf yoyote mwenye macho juu juu anapewa warning kuwa apite mbali na hawa wadada wapo occupied:
Conclusion:
Wana JF wote mimi ni shemela wenu aka bwashee
Unajipa mwenyewe promo[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hawa ni wapendanao watatu ambao ni mzee mwenyewe Saint Ivuga na warembo wake wawili, wasichana wazuri kuliko wote hapa JF relato na Inna.
mwana Jf yoyote mwenye macho juu juu anapewa warning kuwa apite mbali na hawa wadada wapo occupied:
Conclusion:
Wana JF wote mimi ni shemela wenu aka bwashee
Mbona unaguna bibie.? Kama hujapenda nilivyosema niambie nishike adabu zangu..
Kisu butuAma kwa hakika Valentina ni kisu.
Vishavu na kamdomo kayege[emoji85] [emoji85]Kisu butu
Utaweza kuzishika hzo adabu..?!Mbona unaguna bibie.? Kama hujapenda nilivyosema niambie nishike adabu zangu..
Kayege ndo nini tena? MweehVishavu na kamdomo kayege[emoji85] [emoji85]
Typing error weka n katikati kisha tenganishaKayege ndo nini tena? Mweeh