happymwashi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 980
- 846
Wewe wasema.Kisu butu
Akupige[emoji15] [emoji15] [emoji15]ili iweje sasa
[emoji35] [emoji35] [emoji35] OK! Sawa!Akupige
Nitaweza am a man..Utaweza kuzishika hzo adabu..?!
ahahahahJoanah si umemteka haji jf tena..
Halaf mimi?asee niachie mmoja bhana siyo vzuri
Weka picha.Hawa ni wapendanao watatu ambao ni mzee mwenyewe Saint Ivuga na warembo wake wawili, wasichana wazuri kuliko wote hapa JF relato na Inna.
mwana Jf yoyote mwenye macho juu juu anapewa warning kuwa apite mbali na hawa wadada wapo occupied:
Conclusion:
Wana JF wote mimi ni shemela wenu aka bwashee
Wewe mwenyewe huna pichaWeka picha.
Tunaweza kuwakuta mtaani tusiwajue tukawataifisha buree.Ukiweka picha utakuwa umetoa taarifa kamilifu.
Love triangle motomoto!!!!Hawa ni wapendanao watatu ambao ni mzee mwenyewe Saint Ivuga na warembo wake wawili, wasichana wazuri kuliko wote hapa JF relato na Inna.
mwana Jf yoyote mwenye macho juu juu anapewa warning kuwa apite mbali na hawa wadada wapo occupied:
Conclusion:
Wana JF wote mimi ni shemela wenu aka bwashee
for ur informatio,humu JF nzima hakuna mwanamke mzuri anamzidi mahondawHawa ni wapendanao watatu ambao ni mzee mwenyewe Saint Ivuga na warembo wake wawili, wasichana wazuri kuliko wote hapa JF relato na Inna.
mwana Jf yoyote mwenye macho juu juu anapewa warning kuwa apite mbali na hawa wadada wapo occupied:
Conclusion:
Wana JF wote mimi ni shemela wenu aka bwashee
for ur information humu JF nzima hakuna mwanamke anamzidi uzuri Mahondaw,na si hao vikaragosi ulowataja...Hawa ni wapendanao watatu ambao ni mzee mwenyewe Saint Ivuga na warembo wake wawili, wasichana wazuri kuliko wote hapa JF relato na Inna.
mwana Jf yoyote mwenye macho juu juu anapewa warning kuwa apite mbali na hawa wadada wapo occupied:
Conclusion:
Wana JF wote mimi ni shemela wenu aka bwashee
Halafu huyu mdogo wangu anapenda sana kukutenda tenda eee?Halaf mimi?
Mimisijtoa tangazo mazee. Wewe ndiye uliyetoa tangazo.Wewe mwenyewe huna picha
Mahondaw hakuna kitu. Mimi namfahamu chini juu.for ur informatio,humu JF nzima hakuna mwanamke mzuri anamzidi mahondaw
for ur information humu JF nzima hakuna mwanamke anamzidi uzuri Mahondaw,na si hao vikaragosi ulowataja...
Poa. Nitaweka picha zao. Kesho asubuhiMimisijtoa tangazo mazee. Wewe ndiye uliyetoa tangazo.
Wengine hatutaki kukukosea kwa bahati mbaya.
Ndio habari inayotrend sasa hivi. Kama ya wahengaLove triangle motomoto!!!!