Hii sio couple ni Triple ambayo haijawahi kutokea hapa JF

Hii sio couple ni Triple ambayo haijawahi kutokea hapa JF

Hawa ni wapendanao watatu ambao ni mzee mwenyewe Saint Ivuga na warembo wake wawili, wasichana wazuri kuliko wote hapa JF relato na Inna.
mwana Jf yoyote mwenye macho juu juu anapewa warning kuwa apite mbali na hawa wadada wapo occupied:
Conclusion:
Wana JF wote mimi ni shemela wenu aka bwashee
Weka picha.

Tunaweza kuwakuta mtaani tusiwajue tukawataifisha buree.Ukiweka picha utakuwa umetoa taarifa kamilifu.
 
Hawa ni wapendanao watatu ambao ni mzee mwenyewe Saint Ivuga na warembo wake wawili, wasichana wazuri kuliko wote hapa JF relato na Inna.
mwana Jf yoyote mwenye macho juu juu anapewa warning kuwa apite mbali na hawa wadada wapo occupied:
Conclusion:
Wana JF wote mimi ni shemela wenu aka bwashee
Love triangle motomoto!!!!
 
Hawa ni wapendanao watatu ambao ni mzee mwenyewe Saint Ivuga na warembo wake wawili, wasichana wazuri kuliko wote hapa JF relato na Inna.
mwana Jf yoyote mwenye macho juu juu anapewa warning kuwa apite mbali na hawa wadada wapo occupied:
Conclusion:
Wana JF wote mimi ni shemela wenu aka bwashee
for ur informatio,humu JF nzima hakuna mwanamke mzuri anamzidi mahondaw
Hawa ni wapendanao watatu ambao ni mzee mwenyewe Saint Ivuga na warembo wake wawili, wasichana wazuri kuliko wote hapa JF relato na Inna.
mwana Jf yoyote mwenye macho juu juu anapewa warning kuwa apite mbali na hawa wadada wapo occupied:
Conclusion:
Wana JF wote mimi ni shemela wenu aka bwashee
for ur information humu JF nzima hakuna mwanamke anamzidi uzuri Mahondaw,na si hao vikaragosi ulowataja...
 
for ur informatio,humu JF nzima hakuna mwanamke mzuri anamzidi mahondaw

for ur information humu JF nzima hakuna mwanamke anamzidi uzuri Mahondaw,na si hao vikaragosi ulowataja...
Mahondaw hakuna kitu. Mimi namfahamu chini juu.
Ni mzuri kwako. Ila mahondaw hapa Jf hamzidi hata Nazjaz.
Ukija kwa Inna yani sitaki hata kuelezea sifa za huyu mtoto kwani mtamsumbua. Ila JF nzima hakuna, ukija kwa relato tena hapa ndio hatari.
Mimi sibahatishi. Nilikuwa nadate ngozi nyeupe miaka kibao kwa hio nikikuambia huyu muafrica ni kisu huwa sibahatishi.
Hutaki acha. Nenda kwa makonda wako mkanywe naye chai
 
Back
Top Bottom