Hii stail aliyotumia Diamond, kumtakia Heri ya kuzaliwa Rayvany kiboko!!!

Kuna mwanamke Wa MTU ila hakunaga mwanaume Wa mtu

invest what you are willing to loose
Wengi hawatakuelewa ila ndiyo hali halisi. Hakuna haja ya kumlalamikia Mabeto ila alaumiwe Zari kwa kutotimiza majukumu yake ya kumpa K Diamond mpaka asiwe na hamu na Mabeto
 
Yule Mange anawivu sijapata ona. Anamiss maisha ya Dubai ya credit card. Unaona kabisa yeye ndio anataka kabisa maisha ya Zari.
Yule Hamisa kilichompeleka kulala na mwanamme wa mtu ni nini. Wanawake wa bongo wanataka mteremko, akome.
Hivi kwanini mnamuattack hamisa peke yake? huyo mond akuona kama anatakiwa atulie na mkewe na akichepuka atumie kinga?

kama ni makosa wote wawili wana makosa, sio missa peke yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwanini mnamuattack hamisa peke yake? huyo mond akuona kama anatakiwa atulie na mkewe na akichepuka atumie kinga?

kama ni makosa wote wawili wana makosa, sio missa peke yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika hili huwezi kumlaumu Mabeto. Refer kuna mke wa mtu ila hakunaga mume wa mtu as per comment above
 
haaaaa Hamisa atapata pressure. Imagine mtu kakukana wewe na mtoto tena public na wimbo kaimba utakaodumu kwa years.
Hatari sana... Huyu binti mbinu aliyotumia asingeliweza kufanikiwa...bora angefanya ikabaki siri tuu...
 
Hivi kwanini mnamuattack hamisa peke yake? huyo mond akuona kama anatakiwa atulie na mkewe na akichepuka atumie kinga?

kama ni makosa wote wawili wana makosa, sio missa peke yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo kutaka kuonyesha wanadama Diamond Kwake hafurukuti Hiyo Ndio shida
 
Rafiki hujui faida ya Zari kwa Diamond ni biashara hivyo wimbo ataimba mchana na usiku anamkumbatia Mabeto.
Ni kweli Hamisa angejilia kuku wake kwa mrija tatizo Kiki za kijinga zinawaponza
 
haaaaa Hamisa atapata pressure. Imagine mtu kakukana wewe na mtoto tena public na wimbo kaimba utakaodumu kwa years.
Hivi kweli huyo mtoto ni wa dai ?sio wa majizo kweli,,ina maana kweli dai anamkama mtoto?mi hata siamini jamani mpaka siku hamisa aseme mtoto ni wa dai
 
Mange aliko anamwona zirairu kabisaaa sio kwa wivu na roho mbaya alivyonavyo yule kikaukau mweh.....li mange likorofi lenyewe limekaukaa kama nyama ya mishkaki au ng'ombe aliekosa malisho msiiiiiw kijitu kikavu ka kimepigwa na jua la kiama roho mbaya tu......halafu kale kahamisa kazuri ila akili hakana ujinga mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao ni wavulana Siyo wanaume.
Wanaume mnazidi kupungua kwa kasi ya kimbunga
Kweli wanaume tunazidi kupungua..
Jana nlikua mahali na washkaji mida ya saa3 usiku mara mmoja kanyanyuka kamnong'oneza mwenzie kitu..alienong'onezwa kapayuka birthday na umri wote ule!! Mshkaji alitoka bila kuaga naona alikua anawai kiti cha mbele.

young kilimanjaro
 
Tatizo kutaka kuonyesha wanadama Diamond Kwake hafurukuti Hiyo Ndio shida
wapi kaonyesha afurukuti? mlitaka asipost mimba yake? kama mwae anaitwa abdul asiseme? aliojiwa akakataa mnataka ajitahidi kufanya siri ya vipi looh!! mwisho mtataka hata mtoto wake asimpost
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…