The Legacy JF-Expert Member Joined Jun 1, 2022 Posts 5,879 Reaction score 11,318 Oct 21, 2024 #21 Magari ya takayotumika kuteka raia hayo๐๐
Andrew Tate JF-Expert Member Joined Jun 28, 2020 Posts 4,503 Reaction score 6,861 Oct 21, 2024 #22 Hii ndio sababu sitaki kusikia kuhusu siasa. Kuna mambo kama una akili timamu unaweza jikuta unapiga ngumi ukuta. Mwisho wa siku muumiaji utabaki kuwa wewe tu.
Hii ndio sababu sitaki kusikia kuhusu siasa. Kuna mambo kama una akili timamu unaweza jikuta unapiga ngumi ukuta. Mwisho wa siku muumiaji utabaki kuwa wewe tu.
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 38,657 Reaction score 44,759 Oct 21, 2024 #23 KiuyaJibu said: Kama kweli Serikali inanunua magari mpya (brand new); kuna ulazima wa kutumia kiasi chote hicho kununua magari kila mwaka; wakati gari jipya lina warranty ya miaka mitano. View attachment 3131934 Click to expand... Ndiyo maana wanauana kugombea vyeo
KiuyaJibu said: Kama kweli Serikali inanunua magari mpya (brand new); kuna ulazima wa kutumia kiasi chote hicho kununua magari kila mwaka; wakati gari jipya lina warranty ya miaka mitano. View attachment 3131934 Click to expand... Ndiyo maana wanauana kugombea vyeo
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 38,657 Reaction score 44,759 Oct 21, 2024 #24 Ndebile said: Kuna siku wazungu roho itawauma watatunyma vyandarua, condom na ARV vya bure! View attachment 3131947 Click to expand... Huyu aligaagaa baada ya Mheshimiwa Mkuu kupeleka maendeleo jimboni kwake
Ndebile said: Kuna siku wazungu roho itawauma watatunyma vyandarua, condom na ARV vya bure! View attachment 3131947 Click to expand... Huyu aligaagaa baada ya Mheshimiwa Mkuu kupeleka maendeleo jimboni kwake