Hii tabia imekuwa sugu; mtu anaamua tu aje Dar kukusalimia na afikie kwako

Akili yako na huyo jamaa yako zimefanana tu afu nyie mliopo Dar hamjui sikuhz mnadharaulika tu kama walivo wa Njombe huko au Katavi tu !? Mnajkuta wa juuu kumbe hovyo tu, kwa bandiko lako bora ungesema tu hauna ya kumlisha mtu usisema ety ghafla.
 
Sipendi kwenda kwa ndugu hata mtu akinialika niende kwake lazima nimtafutie sababu za kutokuja naona uvivu sana kwenda kwenye nyumba za watu.

Likewise mwenyewe sipendi kutembelewa na ndugu hata marafiki. Kila mtu aishi kwake.


Wewe ni mchoyo?

Unaogopa nini?

Unaficha nini?


Una mahusiano na jinsia tofauti na yako?
 
Mimi mtu hata akitoa taarifa kama anakuja kwangu simpokei. Utanipigia simu mpaka uchoke naicha tu inaita najua huyu atakuja ni mikosi na nuksi ndani kwangu.

Jifunze kujisimamia mwenyewe watu wako bize sana


Ni vizuri kuheshimu mipaka ya wenzetu, inatuepusha na mengi.



Lakini wewe kuna trauma imelala ndani yako, itibie.
 
Una hoja usikilizwe
 
Mimi nina wageni mwezi wa tatu unaingia najiuliza hawa washaweka kambi au laa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…