Hii tabia imeshakuwa kero sana

Kingsharon92

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
7,843
Reaction score
10,321
Hakuna kitu kinachoitwa hasira una mizuka yako ya kukata gogo maeneo haswa ya vyoo vya sehemu ya starehe au stand unaingia unapishana na mtu anatoka msalani kavaa vizuri kabisa unaingia tu hamadi unakutana na gogo hata halijasafirishwa lipo limejaa kwenye tundu yaani mpka mzuka wa kukata gogo unaisha kabisa sasa niwaulize nyie wenye tabia hizo hivi huwa hamuangalii magogo mliyoyakata nahisi hata kutawaza huwa hamtawazi kabisa haiwezekani ukate gogo ushindwe kulisafirisha ili hali na maji yamo mnakera sana badilikeni
 
Raha ya kukata gogo ukate ukiwa na earphone ata ile pritataa taaaaaa hauisikiii unasikia iokote ya Maua Sama tu
 
Na ukimaliza kukata ulisafirishe sehemu husika siyo unaliacha tu
Raha ya kukata gogo ukate ukiwa na earphone ata ile pritataa taaaaaa hauisikiii unasikia iokote ya Maua Sama tu
 
Tunatokana na watu wa tamaduni tofauti tofauti. Na Umenikumbusha elia 1980s tukiwa school wenzetu wasukuma walikuwa wanaweka pembeni kabisa , eti jadi yao hairuhusu kuichanganya pamoja. Sasa ni zamu yako kufanya usafi. Yaani sheeeedah. Ilibidi campaign kubwa ifanyike kuwaweka sawa [emoji86][emoji12][emoji23][emoji1787]
Na ukimaliza kukata ulisafirishe sehemu husika siyo unaliacha tu
 
Mi kukatia gogo mitaani kulishanishindaga mana nimezoea nkitaka kuanza hii shughuli navua nguo zote ili nikate gogo kwa uhuru kabisa, sasa vyoo vya mitaani hii shughuli siiwezi
 
Umesemea standi ipi maana niko huko sijajua wee unamaanisha ipi
 
Nikiwa town ma nikihitaji hiyo huduma najifanya mteja wa benk then naomba sehemu ya kutatua shida zangu,sababu vyoo vyao ni safi
 
Watu utawaskia et ooh,, Hakuna Raha Kama
Kupendwa... Hivi mnajua raha ya kunya
chooni huku umeshkilia ndoo..
people acheni kurorpoka
 
Una gogo wewe au kigogo.
Mi kukatia gogo mitaani kulishanishindaga mana nimezoea nkitaka kuanza hii shughuli navua nguo zote ili nikate gogo kwa uhuru kabisa, sasa vyoo vya mitaani hii shughuli siiwezi
 
Nikiwa town ma nikihitaji hiyo huduma najifanya mteja wa benk then naomba sehemu ya kutatua shida zangu,sababu vyoo vyao ni safi
Kuna choo kimoja jengo la nsssf aiseee ofisi ile usafiri chooni ni ziro kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…