Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah mwanangu una degree 😆, aisee mi hata shule sikwendaHapo kwenye kupiga goli😁🤣mbona Inawezekana Ila mbona mimi Sina gari, Sina mke mkali, Sina nyumba wala kiwanja
Nina leseni tu ya udreva na degree yangu plus jobless Intelligent businessman hatuna maisha tutoe kwenye hilo kundi
Yaani BS kabisa mkuu!!Ni totally bullshit
Mwinginee anakuja PM anakwambia ameona Mimi nafaa kuwa mke wake mpk unaanza kujiuliza huyu ana wazimu hatujuani sikujui na huna uhakika kama hii ID ni ke o me ila umekazana kusema tunaendana huwa mnakuwa na wendawazimu kichwani mwenu
Sasa Leo kuna watu wanatusema sisi wenye degree ety doto ni muhimu kuliko sisi kwenye taifa? 🥶Dah mwanangu una degree 😆, aisee mi hata shule sikwenda
Goli 5 huwezi kupiga daily, goli 5 unaweza kupiga kwa mwanamke mpya ambae hujawahi kumla halafu pia lazima uwe una muda kidogo toka umefanya sex ya mwisho, umekusanya nguvu kidogo.Hapo kwenye kupiga goli😁🤣mbona Inawezekana Ila mbona mimi Sina gari, Sina mke mkali, Sina nyumba wala kiwanja
Nina leseni tu ya udreva na degree yangu plus jobless Intelligent businessman hatuna maisha tutoe kwenye hilo kundi
SIjui tuseme ni utotoSasa kwa nini ulete fictitious story huku unaeleza namna unavyopitia changamoto fulani, unategemea sisi tukuelewe vipi?
Kumbuka watu wanatumia resources zao za muda na kuwaza namna gani watakushauri uondokane na hilo janga.
Fikiria mtu analeta story ya namna anavyopambana na maisha, amekata tamaa na anataka kujiua/kufa. Unatoa ushauri na badae unakuja kufahamu jamaa alikuwa anatania, unajisikiaje?
Ni kweli kupiga tano Kila siku kwa nguvu za kawaida ni ngumu labda mara moja moja kwa mweziGoli 5 huwezi kupiga daily, goli 5 unaweza kupiga kwa mwanamke mpya ambae hujawahi kumla halafu pia lazima uwe una muda kidogo toka umefanya sex ya mwisho, umekusanya nguvu kidogo.
Mimi kwa mfano, nilikua naweza kuunganisha bao 2 hadi 3 miaka kadhaa ya nyuma. Siku hizi siwezi kuunganisha, yaani ni non stop kwa goli la kwanza na la pili ama hadi la 3, hakuna ile kitu inaitwa refractory period.
Siku hizi siwezi kuunganisha, lazima nipige la kwanza, nivute upepo kidogo, nipige la pili na kuendelea kwa mtindo huo. Nimekuja kugundua kwamba enzi zile naunganisha kwanza nilikua napata sex kwa manati, sikua na hela hivyo wanawake wazuri nilikua napata muda sana kuwapata, njia pekee niliyokua nayo ya kupata wanawake ni kutongoza, maneno mengi, stori nyingi hadi nakuja kupata utamu miezi 4 ama 6, nikiishika hiyo kitu naipiga goli 3 non stop kwa sababu ya kiu ya muda mrefu na uchu.
Siku hizi sex napata at will, yaani nikijisikia tu napewa sex daily. Hii imepoteza kabisa uwezo wangu wa kuunganisha mabao.
😆😆😆😆😆Tukianza na wewe wewe siyo wa kike wewe ni wa kiume na inakera sana mtoto wa kiume ku-act uanamke.
Mtoto wa kiume kutunga story kwamba sometimes huwa anafurahia uume siyo jambo la maana hata kidogo aloo acha hizo.
Kuna huyo mmoja anajisifia sana kuwa na mkwanja niliongea nae video call sura tu ni broke na juu ya paa ile jipsam singbod imeoza inaonesha kuvuja ila nyuzi zake humu kujisifia anamiliki vitu vikaliStory za JF sio za kuzichukulia serious, humu kila mtu anapiga goli 5, kila mtu ana mwanamke mkali, kila mtu anamiliki gari, kila mtu ana nyumba kali, kila mtu ana degree na amesoma UDSM, kila mtu alipata division 1 form 4 na six na ana GPA kali.
Kuna Watu wana maneno ya shombo mkuu nafikirii ni wale Watu ambao hawatakagi kukataliwa wanajiamini wao ni special group hivyo wakikataliwa huishia kutukana wenzaoKuna member alianzisha uzi juzi kati akiomba namna ya kukwepa zawadi sijui na blah blah kama hizo nikamuuliza kama alishawahi kusikia neno SITAKI
Na wewe kama hujawahi kusikia neno SITAKI basi nakuelekeza....maana yake ni kukataa,litumie hilo huko PM,litakusaidia
Hutaki mitongonzo da mkubwa?Wengi wehu wamebaki kutukana tu,uzuri nshawatupia ignore list na kuwasahau
Bora unisaidie maana kuna watu wanajifanya wajuaji humu mtu akileta post tu utasikia dume ila yeye ukimwambia na wewe ni shoga ana kasirika .. yaaniHamna Huyu ni wakike mzazi mwanaume hawezi kuandika mwandiko wa vile
Sawa kwasababu ulinichungulia wape wenzio visibitisho mkuuTukianza na wewe wewe siyo wa kike wewe ni wa kiume na inakera sana mtoto wa kiume ku-act uanamke.
Mtoto wa kiume kutunga story kwamba sometimes huwa anafurahia uume siyo jambo la maana hata kidogo aloo acha hizo.