Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesssssir!Easy-peasy 🤣🤣🤣
Sikia Sasa Joanah njoo pm tuyajenge,
Kuna Watu wana maneno ya shombo mkuu nafikirii ni wale Watu ambao hawatakagi kukataliwa wanajiamini wao ni special group hivyo wakikataliwa huishia kutukana wenzao
Vyote hivyo havizuiii kuunganisha mkuu we have been there na tunaunganisha hio ni dalili ya reduced libidoGoli 5 huwezi kupiga daily, goli 5 unaweza kupiga kwa mwanamke mpya ambae hujawahi kumla halafu pia lazima uwe una muda kidogo toka umefanya sex ya mwisho, umekusanya nguvu kidogo.
Mimi kwa mfano, nilikua naweza kuunganisha bao 2 hadi 3 miaka kadhaa ya nyuma. Siku hizi siwezi kuunganisha, yaani ni non stop kwa goli la kwanza na la pili ama hadi la 3, hakuna ile kitu inaitwa refractory period.
Siku hizi siwezi kuunganisha, lazima nipige la kwanza, nivute upepo kidogo, nipige la pili na kuendelea kwa mtindo huo. Nimekuja kugundua kwamba enzi zile naunganisha kwanza nilikua napata sex kwa manati, sikua na hela hivyo wanawake wazuri nilikua napata muda sana kuwapata, njia pekee niliyokua nayo ya kupata wanawake ni kutongoza, maneno mengi, stori nyingi hadi nakuja kupata utamu miezi 4 ama 6, nikiishika hiyo kitu naipiga goli 3 non stop kwa sababu ya kiu ya muda mrefu na uchu.
Siku hizi sex napata at will, yaani nikijisikia tu napewa sex daily. Hii imepoteza kabisa uwezo wangu wa kuunganisha mabao.
Kweli aisee 🤣🤣🤣Ati main character 😂
Tukianza na wewe wewe siyo wa kike wewe ni wa kiume na inakera sana mtoto wa kiume ku-act uanamke.
Mtoto wa kiume kutunga story kwamba sometimes huwa anafurahia uume siyo jambo la maana hata kidogo aloo acha hizo.
Kwenye ngono, sidhani kama kuna kitu unaweza kunifundisha kwa sasa mkuu na wala sina riduced sex libido.Vyote hivyo havizuiii kuunganisha mkuu we have been there na tunaunganisha hio ni dalili ya reduced libido
Kuna matatizo mnajiletea wenyewe,kwanini ufeki mpaka jinsia,na jinsia ni kitu cha kuficha?,wewe ni tapeli?,nakuhakikishia Kuna siku utamponza mwaikimbaKwanza kabisaa usiamini story zote humu utakuwa mjinga sana humu kuamini kila story na kuanza kumdefine mtu kulingana na story alioleta… visa vingi ni uongo uongo
Hii tabia imekuwa kero sana kwa watu wa humu jf (wanaume),, lengo la kutumia ID fake ni ili mtu alete kisa chake na majanga yanayo msibu bila kutambulika na yoyote yaani mtu anakuwa huru kutoa ya moyoni mwake
Wakati mwinginee pia hivi visa havina uhalisia ni kuchangamsha genge la JF na mtoa story kupunguza stress anapoingia humu
Sasa nashindwa kuwaelewa wale wanakimbilia PM kuomba namba tena kwa ulazima… mtu unakuta unamwambia nishauri humuhumu ila anabaki kukulazimisha utoe namba.. huwa nawashangaa mnataka cha ziada nini… tutoe namba zetu humu ili identity zenu zijulikane na wengine mlivyo wa hivyo muje mututangaze humu
Mimi niliacha hadi kutumia ID yangu ya zamani kwasababu kuna baadhi ya watu nilikosea sana nikawapa namba yangu na tumekuwa marafiki na story nazozileta humu hazifanani na uhalisia wa maisha wangu kwa mitazamo yao so ikawa ngumu mimi kuandika visa vyangu kwa ID yangu ikabidi nitengeneze ID mpya
Mwinginee anakuja PM anakwambia ameona Mimi nafaa kuwa mke wake mpk unaanza kujiuliza huyu ana wazimu hatujuani sikujui na huna uhakika kama hii ID ni ke o me ila umekazana kusema tunaendana huwa mnakuwa na wendawazimu kichwani mwenu
Kama mtu kaomba ushaurii hajasema kuwa anahitaji kutoa mawasiliano yake na hajapost kutafuta mume au mke kwenye jukwaa la Love connect muache jamani kutusumbua
Wengine hatuwezi kuzifunga hizo pm kwasababu kuna baadhi ya member wanashindwa kuchangia mada labda for their reasons wanaamua kuja pm ili kutoa ushaurii
Mawasiliano hayalazimishwi jamani kama nimeomba ushaurii unaweza kunishauri bila Kutaka namba yangu.. kama ningehitaji kujulikana basi platform ni nyingi na wana saikolojia ni wengi ningeenda huko kuomba ushaurii
Nipo jf kuomba ushaurii wowote kwasababu ni sehemu ambayo ninajisikia comfortable kueleza chochote bila kujulikana na yoyote humu
Haya ninayasema kwasababu kuna members wamekuwa wakinishambulia PM kwa maneno mabaya kisa tu nimekataa kutoa namba yangu… jambo ambalo limeniudhi.. kama mtu kisa namba anaweza kunitolea maneno machafu hata nikimpa namba yangu hashindwi kuja kuni expose humu
Tuheshimiane humu.. hizi story za humu zinaishiaga humu na story zingine nyingi humu ni Chai tu hazina uhalisia… sasa wewe kujifanya una ushaurii sana mpk kulazimisha namba na ukinyimwa unaleta matusi hebu huo ushaurii jishauri mwenyewe labda utakusaidiaa
Weekend njema
Ni fqlasi huyo,unafeki jinsia kama sio tapeli nini?,au mwaipunga?Hapo mie 🫣🫣🤔🤔
Kama wewe KE why hili likukasirishe sanaaa
Nacheka mie
Sifikiri kama unafaham vya kutosha i have seen pts with same cases multiple timesKwenye ngono, sidhani kama kuna kitu unaweza kunifundisha kwa sasa mkuu na wala sina riduced sex libido.
Ni either you sex once in a while ndio unaweza kuunganisha ila sio daily sex, haiwezekani. Mimi niko na sex on daily basis na sio kwa mwanamke yule yule mmoja, mutiple women.
In a biological point of view, huwezi kua unafanya sex daily halafu performance yako ikawa ni ile ile daily 7 days a week, 366 day a year na zote hizo unawa unaunganisha mabao 3 kwa siku, hakuna.
I see where you don't get it. Mimi sipati sex drive 24/7, napata actual sex daily, 7 days a week, unless kuwe na unavoidable circumstances pekee mimi nisipate sex siku hiyo. So sina prolonged refractory period.Sifikiri kama unafaham vya kutosha i have seen pts with same cases multiple times
Unapata sex drive 24/7 lakini you have prolonged refractory period na upo below 50 should be alert mate
Now you talkI see where you don't get it. Mimi sipati sex drive 24/7, napata actual sex daily, 7 days a week, unless kuwe na unavoidable circumstances pekee mimi nisipate sex siku hiyo. So sina prolonged refractory period.
Niko kwenye mid 30's na nimekua nikipata constant ama daily sex for the last 11 years kwenye mid 20s yangu, ikipita siku 2 sijasex naugua.
Nikimaliza siku 5 sijasex naweza kuunganisha bila shida isipokua muda wa kukaa siku 5 sijasex ndio haupo na why nisibiri siku 5?
It comes down to the point kwamba ukipata recovery period ama abstainance from sex for few days unaweza tu kuunganisha bila shida ila kama una dex daily, haiwezekani mkuu, hilo tusidanganyane.
Utabiri wako leo umekudanganya mkuu… jaribu tena siku nyingineIla we Unique flower unapenda kutuchosha akili!yaani umebadili ID lkn mambo yako yaleyale🥲🥲🥲
Ndio maana nimekuja kusema humu kwani kuna dhambi gani mkuu siruhusiwi kusema kitu kinachonikera mkuu basi mwambie melo afute uzii mkuuWanavyokuja kuomba no. huwa wanakushikia panga? Ya nini uhangaike nao iwapo unaweza kupiga kimya au kusema hutaki.
Shida ipo upande wako
🤣🤣🤣🤣 kwaiyo nina swagger za mbali za ki da Mau… halafu unaeza kuta huyo da mau ni kabibi flan hivi ka sisiemuSis kumbe hujui kuchunguza, huyu wala sio da mau… yule mwandiko wake una matege na ana id yake nyingine ishacomment hapa hapa 😹😹😹
Sema naye ana swagger za mbali za ki da Mau..!!
Hakuna masponsor jamii forum wote humu kalagabao😹🤣🤣 nimeamka kukojoa comment yako imenifanya nicheke mpk machozi..!!
Watu na ma sponsor wenu 🤣
Nitakuwa nawatumie matako ya ng’edere wakiomba tenaKm hutaki usumbufu funga pm, ukiacha lazima waje wakuombe na hizi nyuzi zako waungwana wanataka kuona yaliyomo yamo 😹😹😹
Kwani kuna post yangu nishawahi kusema mimi me mkuudaah hivi we ni me au ke?😇😇am konfyuzidi