Mwanae wa dar bwana, we ona sousage, mayai, bacon, chapat moja ndo vyakula vyenu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Chapati sita unajaza tumbo,kumbuka hapo kuna wanga mwingi na mafuta kidogo, afadhali ule sahani mlima ina mchanganyiko. Mtu anaekula chapati moja,maharage,sausage moja,yai moja,bacon moja anakuwa na afya nzuri kuliko unaekula chapati sita na kikombe cha chai.
Afu nyinyi wanaume wa dar mnajua afya nzur ni kuwa mlaini kama hivyo mlivyo aaaaa acheni bhana hebu njooni huku mkoani tuwaonyeshe kaziChapati sita unajaza tumbo,kumbuka hapo kuna wanga mwingi na mafuta kidogo, afadhali ule sahani mlima ina mchanganyiko. Mtu anaekula chapati moja,maharage,sausage moja,yai moja,bacon moja anakuwa na afya nzuri kuliko unaekula chapati sita na kikombe cha chai.
Nimekupa mfano wa varieties...sio ufakamie tu chapati sita. Mimi huwa sili kabisa asubuhi.Mwanae wa dar bwana, we ona sousage, mayai, bacon, chapat moja ndo vyakula vyenu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Unazungumzia kuku? Mwanaume wa Dar hata kipapatio hamalizi, pekee anachoweza kumaliza ni figo ya kukuDidier drogba anakula kuku wa 3 wa kienyeji coz ni mwanaume wa kaz lakin mwanaume wa dar anakula kuku mmoja na hamalizi [emoji1] [emoji1] [emoji1]
kuna tofauti kubwa kati ya kujenga mwili na kujaza matumboMwanae wa dar bwana, we ona sousage, mayai, bacon, chapat moja ndo vyakula vyenu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Chapati sita unajaza tumbo,kumbuka hapo kuna wanga mwingi na mafuta kidogo, afadhali ule sahani mlima ina mchanganyiko. Mtu anaekula chapati moja,maharage,sausage moja,yai moja,bacon moja anakuwa na afya nzuri kuliko unaekula chapati sita na kikombe cha chai.
Come on maaan...!Bacon hivi ziko Tz?
Come on maaan...!
π π π Umetisha mkuu.Kinachoingia mwilini kutoka kwenye chapati mbili na sita ni sawa tu.....ila wewe unajaza choo sana tu.
Sijui kama ni imported au ni local product ila zipo.Sure nielekeze mkuu, ham aka bacon zipo Tz? Au ni imported
Shikamoo.hata sijui ni nani aisee