Pre GE2025 Hii tabia ya kudharau Wananchi haifai. Nimwambie Wasira kuwa watanzania wakitaka kuzuia uchaguzi mkuu Inawezekana

Pre GE2025 Hii tabia ya kudharau Wananchi haifai. Nimwambie Wasira kuwa watanzania wakitaka kuzuia uchaguzi mkuu Inawezekana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Nimemsikia anasema hakuna wa kuzuia uchaguzi mkuu katika nchi hii. Naona kama anakosea na anapitiliza sasa. Hii nchi siyo mali ya mtu au chama cha siasa.

Pia soma: Pre GE2025 - Mzee Wasira: Hakuna anayeweza kuahirisha uchaguzi mkuu, watanzania wajiandae

1739711405910.png

Watanzania wakiamua kuzuia uchaguzi mkuu wanaweza na Wasira na chama chake na serikali kwa ujumla hawatakua na la kufanya.

Madaraka yasitulevye mpaka kujisahau na kuwadharau Wananchi.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Nimemsikia anasema hakuna wa kuzuia uchaguzi mkuu katika nchi hii. Naona kama anakosea na anapitiliza sasa. Hii nchi siyo mali ya mtu au chama cha siasa.

Pia soma: Pre GE2025 - Mzee Wasira: Hakuna anayeweza kuahirisha uchaguzi mkuu, watanzania wajiandae


Watanzania wakiamua kuzuia uchaguzi mkuu wanaweza na Wasira na chama chake na serikali kwa ujumla hawatakua na la kufanya.

Madaraka yasitulevye mpaka kujisahau na kuwadharau Wananchi.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hivi CCM kumchaguo huyu jamaa ni kutaka ushindi kweli? Hata kama wataiba yaani hata huyu jamani aniibie? Wanatudharau sana wananchi
 
Nimemsikia anasema hakuna wa kuzuia uchaguzi mkuu katika nchi hii. Naona kama anakosea na anapitiliza sasa. Hii nchi siyo mali ya mtu au chama cha siasa.

Pia soma: Pre GE2025 - Mzee Wasira: Hakuna anayeweza kuahirisha uchaguzi mkuu, watanzania wajiandae


Watanzania wakiamua kuzuia uchaguzi mkuu wanaweza na Wasira na chama chake na serikali kwa ujumla hawatakua na la kufanya.

Madaraka yasitulevye mpaka kujisahau na kuwadharau Wananchi.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hivi nyie wananchi wenzangu wa Nchi hii, kweli mnaamini kua maendeleo yatakuja huyu babu chama chake kikishinda? Yaani kila kitu sura yake inajibu.
 
Nimemsikia anasema hakuna wa kuzuia uchaguzi mkuu katika nchi hii. Naona kama anakosea na anapitiliza sasa. Hii nchi siyo mali ya mtu au chama cha siasa.

Pia soma: Pre GE2025 - Mzee Wasira: Hakuna anayeweza kuahirisha uchaguzi mkuu, watanzania wajiandae


Watanzania wakiamua kuzuia uchaguzi mkuu wanaweza na Wasira na chama chake na serikali kwa ujumla hawatakua na la kufanya.

Madaraka yasitulevye mpaka kujisahau na kuwadharau Wananchi.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wananchi hao hao ndio wanaipa CCM ushindi wa kishindo. Kwahiyo akiongea Mzee Wassira maana yake anawaongelea hao wananchi ndio hawataki marekebisho ya Katiba hadi baada ya uchaguzi. Lissu na Chadema hawawakilishi wananchi.
 
Nimemsikia anasema hakuna wa kuzuia uchaguzi mkuu katika nchi hii. Naona kama anakosea na anapitiliza sasa. Hii nchi siyo mali ya mtu au chama cha siasa.

Pia soma: Pre GE2025 - Mzee Wasira: Hakuna anayeweza kuahirisha uchaguzi mkuu, watanzania wajiandae


Watanzania wakiamua kuzuia uchaguzi mkuu wanaweza na Wasira na chama chake na serikali kwa ujumla hawatakua na la kufanya.

Madaraka yasitulevye mpaka kujisahau na kuwadharau Wananchi.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
DAAAAH kweli
 
Nimemsikia anasema hakuna wa kuzuia uchaguzi mkuu katika nchi hii. Naona kama anakosea na anapitiliza sasa. Hii nchi siyo mali ya mtu au chama cha siasa.

Pia soma: Pre GE2025 - Mzee Wasira: Hakuna anayeweza kuahirisha uchaguzi mkuu, watanzania wajiandae


Watanzania wakiamua kuzuia uchaguzi mkuu wanaweza na Wasira na chama chake na serikali kwa ujumla hawatakua na la kufanya.

Madaraka yasitulevye mpaka kujisahau na kuwadharau Wananchi.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hakuna wa kuzuia uchaguzo

Know your limits

There will come that day, lakini siyo sasa

The best shot to give ni kuhakikisha wapinzani wanajipanga na kupata at least 30% ya viti

Na hiyo huipati Kwa kuanza kutishia no elecrion

What domokaya is doing ni kuua kabisa morale ya wagombea ubunge wake
 
Nimemsikia anasema hakuna wa kuzuia uchaguzi mkuu katika nchi hii. Naona kama anakosea na anapitiliza sasa. Hii nchi siyo mali ya mtu au chama cha siasa.

Pia soma: Pre GE2025 - Mzee Wasira: Hakuna anayeweza kuahirisha uchaguzi mkuu, watanzania wajiandae


Watanzania wakiamua kuzuia uchaguzi mkuu wanaweza na Wasira na chama chake na serikali kwa ujumla hawatakua na la kufanya.

Madaraka yasitulevye mpaka kujisahau na kuwadharau Wananchi.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Na we siyo wananchi.
 
Wananchi hao hao ndio wanaipa CCM ushindi wa kishindo. Kwahiyo akiongea Mzee Wassira maana yake anawaongelea hao wananchi ndio hawataki marekebisho ya Katiba hadi baada ya uchaguzi. Lissu na Chadema hawawakilishi wananchi.
Kama wanaipa CCM ushindi wa kishindo inamaanisha pia wanayo uwezo wa kuinyima ushindi wa kishindo au kuzuia uchaguzi isifanyike vilevile.
 
Nimemsikia anasema hakuna wa kuzuia uchaguzi mkuu katika nchi hii. Naona kama anakosea na anapitiliza sasa. Hii nchi siyo mali ya mtu au chama cha siasa.

Pia soma: Pre GE2025 - Mzee Wasira: Hakuna anayeweza kuahirisha uchaguzi mkuu, watanzania wajiandae


Watanzania wakiamua kuzuia uchaguzi mkuu wanaweza na Wasira na chama chake na serikali kwa ujumla hawatakua na la kufanya.

Madaraka yasitulevye mpaka kujisahau na kuwadharau Wananchi.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kitu usichojua wewe na viongozi wako vichwa maji ni kwamba uchaguzi uko kwa mujibu wa Sheria na kuvunja Sheria ni kosa!
Pelekeni hoja zenu kwa mujibu wa Sheria, vinginenyo ni vurugu na mtashughulikiwa ipasavyo!
 
Kama wanaipa CCM ushindi wa kishindo inamaanisha pia wanayo uwezo wa kuinyima ushindi wa kishindo au kuzuia uchaguzi isifanyike vilevile.
Kweli kabisa. Ila swali la kujiuliza, wasipoipa CCM ushindi wa kishindo watakipa chama gani? Au watabaki bila Serikali?
 
Nimemsikia anasema hakuna wa kuzuia uchaguzi mkuu katika nchi hii. Naona kama anakosea na anapitiliza sasa. Hii nchi siyo mali ya mtu au chama cha siasa.

Pia soma: Pre GE2025 - Mzee Wasira: Hakuna anayeweza kuahirisha uchaguzi mkuu, watanzania wajiandae


Watanzania wakiamua kuzuia uchaguzi mkuu wanaweza na Wasira na chama chake na serikali kwa ujumla hawatakua na la kufanya.

Madaraka yasitulevye mpaka kujisahau na kuwadharau Wananchi.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ibara ya 8 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 
Back
Top Bottom