Pre GE2025 Hii tabia ya kudharau Wananchi haifai. Nimwambie Wasira kuwa watanzania wakitaka kuzuia uchaguzi mkuu Inawezekana

Pre GE2025 Hii tabia ya kudharau Wananchi haifai. Nimwambie Wasira kuwa watanzania wakitaka kuzuia uchaguzi mkuu Inawezekana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watanzania wengi ni watu wa maneno mengi katika social media na majukwaa mbalimbali wanasahau Kwamba (Action speak louder than words) 👉acheni maneno mengi humu tuandaeni mazingira tuingie barabarani
 
CCM ikienda kwenye uchaguzi wa Haki kwenye box inashindwa asubuhi sana. Jakaaya Kikwete Rais mstaafu wa JMT..
Really? Nikuulize swali? Ni uchaguzi upi wa Ubunge Chadema iliwahi kusimamisha wabunge majimbo yote Tanzania?

Najua utasema huwa wanakaywa. Sawa. Nikuulize tena; Jimbo la Nkenge Mkoa wa Kagera mwaka 2015 Chadema iliweka Mgombea wa Ubunge?

Kama chama HAKIWEZI kuweka wagombea Ubunge baadhi ya majimbo, kinaweza kuongoza nchi hii?

Nasubiria majibu nikiwa nakunywa Konyagi hapa kabla sijalala!
 
Halafu huyo mzee hana jeuri yoyote, yeye anachojua kwakuwa vyombo vya dola vinaweza kuagizwa na mwenyekiti wa ccm, basi anajihisi anaweza kuongea lolote kwani vyombo vya dola vitaagizwa viwalinde.
Ni mjinga sn hana akili ndiyo maana ana sura kama ya nyani
 
1739767072632.png

Hili pozi limekaa kama vile mtu alietoa ushuzi ila ghafla akahisi unyevunyevu, hapo anasema nishaharibu🤣
 
Kifo Cha mgombea kimewahi kuahirisha uchaguzi,

Sasa Hilo linawezekana,

Anyway Mzee wetu tumsamehe Bure.
 
Back
Top Bottom