Hii tabia ya Wanasiasa kujibishana na polisi isiachwe iote mizizi. Alianza Malima, Kigwangalla, Nape, Lissu na sasa Mbowe

Sio kila kitu polisi anachofanya ni haki. Sio kila amri ya polisi ni haki au ni kisheria. Wao pia hutokea wakavunja sheria.
Na hasa kipindi hiki cha uchaguzi polisi wetu wanaweza kutoa amri zinazokingana na sheria.
 
Wewe unataka kusema kuwa viongozi wakuu wa vyama mbadala ni wadogo kuliko polisi???? Think again! Kulinda usalama siyo kuonea watu na siyo kusema uwongo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…