Hii tabia ya wasanii wa filamu wa kiume kulialia nje ya location imetoka wapi?

Hii tabia ya wasanii wa filamu wa kiume kulialia nje ya location imetoka wapi?

NGOMEKONGWE2021

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2021
Posts
616
Reaction score
1,225
Wadau

Majuzi nilikuwa naangalia Tanzania Film Festival 20202021 kule Tughimbe Hotel Mbeya ....Kwa kweli nilishangazwa sana na wengi ya wasanii wakiume waliochukua Tuzo walikuwa wanalia lia hovyo na kuishiwa nguvu kabisa na kuanza kulilia mama zao pale jukwaani....

Mi ninavyoelewa machozi ya furaha huwa hayamfanyi mtu hasa mwanaume aishiwe nguvu na aishiwe hata kutamka maneno na kudondosha machozi kama kitoto kimenyimwa pipi au chama.......Wakati kuna akina dada kibao walipata matuzo na walikuwa very strong walitoa machozi ya furaha na wakaongea tukawasikia.....!

Halafu kuna kabwana mdogo kamoja sijui anaitwa Bernard ndiyo alichukua Tuzo nyingi kuliko wote hakupenga hata kamasi ..mkavu kichizi....pengine wale wengine wanaolia lia ni kaka zake....Jambo hili ndilo lililonikera kupita kiasi...hata nikajuta kuhudhurua...Hii kulia lia hovyo inasababishwa na nini wakuu? Au ndiyo uana mme wa Dar?

Anyway..hongereni sana waandaji na waliopokea tuzo bila kulia lia
 
Wapigwe fimbo za shingoni kama salasini na tisa hivi kila mmoja ili liwe funzo kwa wanaowafuatilia.Piga hao hadi wakohoe.
Mkuu 9 za nini sasa. Hizo 30 zilikua zinatosha kabisa haukua na haja ya kuongeza 9.

Out of topic, umenikumbusha kuna mshikaji wetu mmoja ali-import demu afu walipomalizana asubuhi akampa 10,700/=

Tulijiuliza sana alipotupa story, iyo 700 ilikua ya nini?
 
Mkuu 9 za nini sasa. Hizo 30 zilikua zinatosha kabisa haukua na haja ya kuongeza 9.

Out of topic, umenikumbusha kuna mshikaji wetu mmoja ali-import demu afu walipomalizana asubuhi akampa 10,700/=

Tulijiuliza sana alipotupa story, iyo 700 ilikua ya nini?
Hebu fuatilia.Hiyo "sevun handrede" ilikuwa ya nini?😂😂😂😂
 
Mkuu 9 za nini sasa. Hizo 30 zilikua zinatosha kabisa haukua na haja ya kuongeza 9.

Out of topic, umenikumbusha kuna mshikaji wetu mmoja ali-import demu afu walipomalizana asubuhi akampa 10,700/=

Tulijiuliza sana alipotupa story, iyo 700 ilikua ya nini?
itakuwa nauli ya daladala
 
Mkuu 9 za nini sasa. Hizo 30 zilikua zinatosha kabisa haukua na haja ya kuongeza 9.

Out of topic, umenikumbusha kuna mshikaji wetu mmoja ali-import demu afu walipomalizana asubuhi akampa 10,700/=

Tulijiuliza sana alipotupa story, iyo 700 ilikua ya nini?
Siyo nauli hiyo kweli!?😂
 
Mkuu 9 za nini sasa. Hizo 30 zilikua zinatosha kabisa haukua na haja ya kuongeza 9.

Out of topic, umenikumbusha kuna mshikaji wetu mmoja ali-import demu afu walipomalizana asubuhi akampa 10,700/=

Tulijiuliza sana alipotupa story, iyo 700 ilikua ya nini?
700 itakuwa alimaanisha nauli ili asichenchi hiyo 10000.
 
Mkuu 9 za nini sasa. Hizo 30 zilikua zinatosha kabisa haukua na haja ya kuongeza 9.

Out of topic, umenikumbusha kuna mshikaji wetu mmoja ali-import demu afu walipomalizana asubuhi akampa 10,700/=

Tulijiuliza sana alipotupa story, iyo 700 ilikua ya nini?
Wanawake ni wajinga baada ya kumgegeda ukampa 10k ya nauli atakwambia hyo 10k kuna kitu anataka kufanyia kama una 3k anaomba ili afanye nauli ukimpa hyo 3k atakwambia hyo 3k ina kazi ataoshea nywele hivyo kama una buku anaomba achukue bodaboda unampa anavyotoka sebuleni akipita mezani akiona coin ya jero ataomba nayo aibebe ukimpa wakati anachukua hilo jero akiona miambili nayo anaomba apandie daradara
Sasa hapo jumlisha utakuwa umehonga sh ngap
 
Back
Top Bottom