Hii technology ya Israel ya kulipua kwa Simu na laptop wangekuwa nayo hawa watekaji na Wauaji hali ingekuwa mbaya sana .

Hii technology ya Israel ya kulipua kwa Simu na laptop wangekuwa nayo hawa watekaji na Wauaji hali ingekuwa mbaya sana .

Kwa hio mechanical system ina jamu.
Bundiki iundwe na mrusi halafu Israel ana ijamusha eti ? Risasi haitoki. By mechanical mechanism haitoki ng'o !
Hii ndio Tanzania ya mama samia. Ngoja niishie hapa tu maana naweza kukifuru bure.
Ions! Q
Kwa mfano hii ya ku reverse massive electrode ni lazima kurusha satellite ndogo nearby area!
 
Hii teknolojia wanayo Israel na Marekani.

Alafu Chief Hangaya juzi kawananga Wamarekani😅😅😅

Kuna vitu waafrika tunafanyaga hadi unauliza hivi ni kibuli au ujinga tu🤣
Hiyo technology ni nyepesi tu taifa lolote linaweza kuwa nayo..usichokifahamu wewe ni kuwa kuna vipandikizi viliwekwa katika hizo pager.
Vilivyolipuka ni pager sio laptop wala simu.
Hata Spain anaweza akaweka vipandikizi vya vilipuzi na vikafanya kazi vile vile.
Msipotoshe taarifa eti anayo Israel na Marekani tu.
 
Haya mapinduzi ya kiteknolojia ya Israel ni ya hali ya juu sana na hayapaswi kufurahiwa sana

Yasifike tu huku Africa hasa Tanzania katika hali hii ya utekaji ,vingekuwa vinasingiziwa tu vifaa
Hazikulipuka simu na laptop.
Zililipuka PAGERS.
Usipotoshe taarifa mleta mada.
 
Hii teknolojia wanayo Israel na Marekani.

Alafu Chief Hangaya juzi kawananga Wamarekani😅😅😅

Kuna vitu waafrika tunafanyaga hadi unauliza hivi ni kibuli au ujinga tu🤣
Mama Anaamini sana Uganga,si umeona yeye Ndio wa kwanza kualika machiefu sijui ma nini,Mara wakaja kizimkazi.
 
Simu hii ya betri ya lithium au kuna simu zingine ? Simu ikilipuka moto wake hauwezi kuzidi hata eneo la kiganja. Lithium battery ili ilipuke inahitaji joto la nje au iwe ktk umeme au iwe imeisha vimba. Simu ni kilipuzi pale kinapo pata external factor. Kwa fizikia ndogo sana ya o level.
Kama simu inalipuliwa mbali basi muundaji wa simu awe amehusika moja kwa moja vinginevyo simu haiwezi kulipuliwa na software vinginevyo ifanyiwe improvement na mtu mbaya.
Anyway ngoja waje wajuzi wa fizikia ya ndani wathibitishe jinsi mifumo ya mbali inavyoweza kuilipua simu. Inawezekana elimu yangu ipo shallow.
Wanasayansi wetu hawa. Ni matukio tayari yametekelezeka. Mwanatekteknorojia wa Tz unasema haiwezekani. Tuna safari sio hapa
 
Wakati wa vita ya kagera.nduli aliomba msaada kwa gaddafi,majasusi jeshi TZ walivyo nasa mchongo,wakaufanyia kazi.

Ndege ya jeshi toka libya ikiwa na dhana kuelekea Uganda.ilijikuta ikitua Tanzania, kwani majasusi wali hack mawasiliano ya marubani.nakuiongoza toka inaliacha anga ya Ethiopia.

Kitendo hicho kinasemekana hakikuwahi kufanyika ulimwenguni.
Sema kwa kusaidiwa na Urusi
 
Wanasayansi wetu hawa. Ni matukio tayari yametekelezeka. Mwanatekteknorojia wa Tz unasema haiwezekani. Tuna safari sio hapa
Uminielewa. Nimesema wapi heiwezekani. Weka fizikia hapa ya lithium battery kuwa bomu. Hakuna jipya chini ya jua tangu afe Einstein hakuna fizikia mapya, haipo.
Ni hivi sayansi sumio myth na stori za kusikia bali maandiko yaliyothibitishwa bila shaka. Weka maandiko, sio hear say.
 
Kitu chochote ambacho sio cha electronics hakiwezi jam au labda uzidishe mzigo.
Bunduki haiwezi jam kwa kulazimishwa nje ya bunduki, nyie watoto.Acheni story za kitoto.
Mkuu kwa kutumia simu au laptop unaweza ku'launch' explosive somewhere as long as such kind of explosive imekuwa decoded na software flani achana na hizo silaha ambazo ziko too mechanical kama AK 47, RL, RPD etc.
Matumizi ya ICBM and the alike hayategemei mtu sijui mpaka avute "Koking hendo" kisha akamue "trigger" ili mzigo uanze masafa.
Kwahiyo ni mleta mada ndiyo yupo nyuma ya wakati ambaye anashangaa matumizi ya electronic devices kama simu na laptop ku"launch" explosive somewhere
 
Kitu chochote ambacho sio cha electronics hakiwezi jam au labda uzidishe mzigo.
Bunduki haiwezi jam kwa kulazimishwa nje ya bunduki, nyie watoto.Acheni story za kitoto.
WEWE JAMAA UNA AKILI SANA, UNASEMA KWELI.

SEMA NI WATU KUKARIRI HAWATAKI KUELEWA.

UKITAKA UKWEPE JAM,ONDOA ELECTRONICS,UKIWEKA ELECTRONICS JAM ZINAWEZEKANA.

SAFI SANA,USILAMIZISHE MTU AKUELEWE WAKATI HILO JAMBO LIKO WAZI!

KAMA WANAWEZA WAJE WAJAM BAISKELI KWA MITAMBO YAO SASA,HAKUNA ELECTRONIC MLE KWENYE ZILE CHUMA.
 
Wakati wa vita ya kagera.nduli aliomba msaada kwa gaddafi,majasusi jeshi TZ walivyo nasa mchongo,wakaufanyia kazi.

Ndege ya jeshi toka libya ikiwa na dhana kuelekea Uganda.ilijikuta ikitua Tanzania, kwani majasusi wali hack mawasiliano ya marubani.nakuiongoza toka inaliacha anga ya Ethiopia.

Kitendo hicho kinasemekana hakikuwahi kufanyika ulimwenguni.
Hii kitu mpaka leo 'mabeberu' wanashangaa hiyo mision ya TPDF...
 
Vifaa vyote vilivyo lipuka ni bidhaa zilizo nunuliwa miezi mitano nyuma.inawezekana MOSSAD walitekeleza huu mkakati toka kwa mzalishaji.

Kwani hizzibollah wamewatuhumu pia wazalishaji.ila wamekana kupandikiza vitu.

Ndio mana IDF hawakupanga hilo shambulio litekelezwe mapema hivo.ila baada ya kuhisi mchongo unaweza kushitukiwa wakaona hakuna namna ya kuutekeleza tu kwa sasa.
Vifaa vya mawasiliano wanavyo tumia hizzbolah.ni special old model kwani hawataki kutumia new model coz ni rahisi ku hack.

Kwahyo hutoa tenda kwa kampuni fulani na kuwatengenezea bidhaa zao.
 
Wakati wa vita ya kagera.nduli aliomba msaada kwa gaddafi,majasusi jeshi TZ walivyo nasa mchongo,wakaufanyia kazi.

Ndege ya jeshi toka libya ikiwa na dhana kuelekea Uganda.ilijikuta ikitua Tanzania, kwani majasusi wali hack mawasiliano ya marubani.nakuiongoza toka inaliacha anga ya Ethiopia.

Kitendo hicho kinasemekana hakikuwahi kufanyika ulimwenguni.
noma sana ujasusi
 
Back
Top Bottom