Unadhani Israel ndio wa kwanza kufanya!?Acha ujinga
Pole hujui mengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani Israel ndio wa kwanza kufanya!?Acha ujinga
kwa bahati mbaya sana, soon itadondokea mikononi mwa magaidi au nchi za wavuta bange kama iran na wengine, urusi atawapa. na dunia patakuwa mahali pabaya sana pa kuishi, kwasababu wavuta bange wakipewa rungu unajua watakachofanya.Haya mapinduzi ya kiteknolojia ya Israel ni ya hali ya juu sana na hayapaswi kufurahiwa sana
Yasifike tu huku Africa hasa Tanzania katika hali hii ya utekaji ,vingekuwa vinasingiziwa tu vifaa
Simu, radio, solar panel zote zililipukaHazikulipuka simu na laptop.
Zililipuka PAGERS.
Usipotoshe taarifa mleta mada.
Ni nchi ipi nyingine walifanya walichofanya israelUnadhani Israel ndio wa kwanza kufanya!?
Pole hujui mengi.
Mzungu ni balaa. Juzi Makamu wa rais kazindua uwashaji vifaa vya usikivu kwa watoto 14 (cochlear implant) Muhimbili, wameshasetiwa vifaa ktk sikio ila hakifanyi kazi had kiwashwe kwa mawimbi, mfumo unaowasha kifaa hicho ni ambao upo nje mtu ana u control, so mtengenezaji si anaweza akazima muda wowote huko aliko.Kuna mtu alikuwa na pacemaker halafu anawasema vibaya mabeberu 😂😂
Hasara ambayo Israel imempa mfadhili wake mkuu Marekani ni kwamba hizo services nyingi zilitoka kwenye makampuni ya Marekani na kwa kitendo hicho tayari wametangaza kuuwa biashara ya hizo kampuni kwa sababu sasa watakimbilia makampuni ya kuchina kama wafanyavyo hamas...Ila Yahudi nimemvulia kofia nasikia huko Lebanon watu wametupa hadi miwani zisiji kuwalipukia
Weee kumbe? Mbona sasa sijaona kifaa kilichotengenezwa Amerikani hapo? Hebu niambie mkuu ni kifaa gani kilicholipuka kimetoka Usa?Hasara ambayo Israel imempa mfadhili wake mkuu Marekani ni kwamba hizo services nyingi zilitoka kwenye makampuni ya Marekani na kwa kitendo hicho tayari wametangaza kuuwa biashara ya hizo kampuni kwa sababu sasa watakimbilia makampuni ya kuchina kama wafanyavyo hamas...