Hii 'The August' ni secret code ya nini?

Hii 'The August' ni secret code ya nini?

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,005
Reaction score
20,425
Kwa miezi miwili sasa kuna ndoto ya ajabu naiota, Namuomba Jah isiwe ya kweli ndoto hii! Kila nikijitahidi kuikwepa lakini bado naiota tu, ina secret cod iitwayo "the august". Ni mpango wa mauaji wa mgombea urais, Ndoto ni ndefu ina mikakati mingi inayohusu attaches zaidi ya 30.

Linaanzia jaribio la kwanza linakosa kwa upande wa kwanza, lakini ndani ya saa 24 upande wa pili linafanikiwa,

Nilipoanza kuota miezi miwili iliyopita ikafuatia jaribio la mapindizi Burundi nikadhani ndoto imetimia, lakini bado nikaendelea kuota tu,

Likafuatia tukio la mauaji ya kiongozi wa upinzani nchini Burundi nikafikiti tena kuwa ndoto imetimia, lakini bado naendelea kuota tu.

Hii ndoto ni mbaya maana hata mchana naota tu,

Ipi tafsiri ya ndoto hii??
 
Kwa hiyo unamaanisha kuna kingozi mmojawapo wa upinzani nchini atafariki mwezi wa nane? Na pia napata kigugumizi kuhusu ndoto yako yako ya agust inaanisha niku ambacho kimepangwa kufanyika licha kusema umeota tangu mwezi miwili na matukio tayari yametokea lakini kwako wewe umekazania agust
 
Kwa hiyo unamaanisha kuna kingozi mmojawapo wa upinzani nchini atafariki mwezi wa nane? Na pia napata kigugumizi kuhusu ndoto yako yako ya agust inaanisha niku ambacho kimepangwa kufanyika licha kusema umeota tangu mwezi miwili na matukio tayari yametokea lakini kwako wewe umekazania agust

Kwenye ndoto naendelea kuona mipango ya mauaji ikipangwa kwaajili ya August
 
CCM italeta vita nchi hii,uzuri wanaanza kwanza kutiana vidole wenyewe ndani ya CCM,naam vidole vya macho na msutano!!

Sheikh Yahya hayupo,labda angemtaja atakayekufa!!!
 
August, jina la mtu/watu li/yatakapokatwa (ndani ya Chama) ndipo ndoto yako itapotea na hakika, HUTAOTA TENA. Amini nakuambia.
 
Mbona unatoboa Siri ya mipango yenu ya kutafuta sympathy. Au sasa unataka kugombea wadhifa wa Hussein Yahya
 
Afadhali wewe umeshaota, kuna yule Waziri mpaka leo anasubiri kuoteshwa! Of course it's obvious August watauawa kisiasa wengi, kwa CCM atavuka mmoja tu na UKAWA atavuka mmoja tu, ikifika Oktoba kidedea atakuwa mmoja tu!
 
Hebu tuwekane sawa aise.


Secret code tya ndoto ni the august

Rais wa Burundi hakupinduliwa august

Kiongozi wa upinzani Burundi hakuuwa August

Lakini kabla ya hapo kama ulikuwa umeanza kuota hukupata kutuambia.

Ushauri wangu;kama ni ndoto siyo moja,zitakuwa nyingi.
 
Ndio madhara ya kuvuta bangi .Uje pia utuambie ukiota umegeuka ndege na unapaa. Leo ndio nimepata jibu la mawazo yako unayoyaleta hapa JF kumbe mteja wa kitu ya Arusha.
 
hakuna vita watang'oana meno wenyewe ma tamaa yao ya madaraka. ila labda ni ndoto ya kufo cha ccm.:msela:
 
Back
Top Bottom