Hii timu inayoshindiliwa magoli na Simba huko Dar ni ya wapi?

Hii timu inayoshindiliwa magoli na Simba huko Dar ni ya wapi?

Sesten Zakazaka haya njoo huku wenzio wanafurahi kufunga watoto wa vidudu. 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Shadeeya, ukiona kaingia kwenye kinyang'anyiro cha kombe la FA sio mtoto tena ni mkubwa mwenzio huyo. Wee si unaona nyie mpaka mkapeleka nyuki, wangekua watoto wala msingehangaika
 
Mie tena Mtani ntakuwepo Insha Allah.

Ila mwatia aibu Mtani yaani mbio mumekuja kujitapa huku timu yenyewe si lolote. 😀

Mbona sie jana tumepiga kimya cha zaidi updates tu za hapa na pale kwenye uzi wetu wa Yanga😎😎😎
Sisi tunatoa tu tahadhali,Hii inaitwa Mama mkanye mwanao ni ujumbe mzito kuelekea tar 4
 
Back
Top Bottom