Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] unaikana mkuu ya kwenu hioMpaka sasa nasikia ni goli la tano, naambiwa timu inatokea Arusha ila mimi kama Mwana Arusha hata siijui.
Kahata ni mnyamaaaa,anapiga vitu
Hahahaaa. Mtani kuna nini kwani sina habari? 😎😎
Shadeeya, ukiona kaingia kwenye kinyang'anyiro cha kombe la FA sio mtoto tena ni mkubwa mwenzio huyo. Wee si unaona nyie mpaka mkapeleka nyuki, wangekua watoto wala msingehangaikaSesten Zakazaka haya njoo huku wenzio wanafurahi kufunga watoto wa vidudu. 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Mie tena Mtani ntakuwepo Insha Allah.Shadeeya Nadhani umejionea kilichowakuta Machalii wa AR tar 4 tusikimbiane tu.
Hahahaaa. Eti eeee.Shadeeya, ukiona kaingia kwenye kinyang'anyiro cha kombe la FA sio mtoto tena ni mkubwa mwenzio huyo. Wee si unaona nyie mpaka mkapeleka nyuki, wangekua watoto wala msingehangaika
Wachaaa!!! 🤔🤔Idadi ya mabao 6-0 inawahusu Gongowazi, Machali AR wametangulizwa..!
Mpaka sasa nasikia ni goli la tano, naambiwa timu inatokea Arusha ila mimi kama Mwana Arusha hata siijui.
Sisi tunatoa tu tahadhali,Hii inaitwa Mama mkanye mwanao ni ujumbe mzito kuelekea tar 4Mie tena Mtani ntakuwepo Insha Allah.
Ila mwatia aibu Mtani yaani mbio mumekuja kujitapa huku timu yenyewe si lolote. 😀
Mbona sie jana tumepiga kimya cha zaidi updates tu za hapa na pale kwenye uzi wetu wa Yanga😎😎😎