Hii timu isajiliwe huko kwenye taasisi za Siasa ijulikane Moja

Hii timu isajiliwe huko kwenye taasisi za Siasa ijulikane Moja

Mikia mnaumizwa sana na namna Yanga inavyoendesha mambo yake.........badala ya kuhangaika na timu yenu macho yenu yanahaha kujua Yanga inafanya nini........ anyway wengi wenu ni Wananchi wa Tz , automatically nyie ni Young Africans FC ndiyo maana 24/7 mko busy na timu yenu ya moyoni
 
Kutokana na ufinyu wa akili zao hakuna atakayekuelewa kule Ubongo wote ulishanyofolewa. Wee huoni hata siku ya Mwananchi Wanavyoimbishwa nyimbo kama vitoto vya Chekechea utaskia jiesiem jiesiem jiesiem kutwa nzima.
Juzi wameenda Rwanda na tule tu school bus BUS ZIMA LIMEPIGWA LOGO ZA GSM hakuna neno Yanga. So wameshaonekana wana akili visoda ndio maaana wanapelekwa kama bus bovu tuuu wanakenua tuu
Utajinyea bure
 
Mara utasikia wameenda kuonana na Raisi wa Nchi Fulani, mara utawasikia wanaimba nyimbo za Chama Fulani cha Siasa wakifunga goli, mara unasikia Chama Fulani Cha Siasa kimepeleka wanachama wake kwenda Nchi jilani kuishangilia, Mara utasikia wametembelea ubalozi wa nchi fulani.
Mara utasikia Raisi wa Nchi Fulani ametoa ndege iwapeleke kwenda kucheza huko ugenini, mara utawasikia wametoa rambirambi kwa wakimbizi wa Nchi jilani n.k..

Haya yote yanafanywa na timu ya mpira wa miguu? Hivi Hawa si waende kushiriki Siasa tu ijulikane Moja?
Mana huku kwenye mpira hakuwafai..
yanga ni timu ya kila mtanzania mpk wewe mwenyewe sema hujui tu,siku ukijua ndo utajua ulikuwa hujui
 
Wewe utakuwa ni kijana wa
Rage bila shaka. Young Africans maana yake ni Aijana wa Afrika.

Kwa hiyo Yanga siyo timu ya Tanzania pekee! Hii ni timu ya Bara zima la Afrika.
"Young Africans maana yake ni Aijana wa Afrika"! Itakuwa kwa lugha ya kikwenu, hebu tafsiri kwa kiswshili.
 
Mara utasikia wameenda kuonana na Raisi wa Nchi Fulani, mara utawasikia wanaimba nyimbo za Chama Fulani cha Siasa wakifunga goli, mara unasikia Chama Fulani Cha Siasa kimepeleka wanachama wake kwenda Nchi jilani kuishangilia, Mara utasikia wametembelea ubalozi wa nchi fulani.

Mara utasikia Raisi wa Nchi Fulani ametoa ndege iwapeleke kwenda kucheza huko ugenini, mara utawasikia wametoa rambirambi kwa wakimbizi wa Nchi jilani n.k..

Haya yote yanafanywa na timu ya mpira wa miguu? Hivi Hawa si waende kushiriki Siasa tu ijulikane Moja?
Mana huku kwenye mpira hakuwafai..
unaonaje kama unakerwa kajambe?
 
Mara utasikia wameenda kuonana na Raisi wa Nchi Fulani, mara utawasikia wanaimba nyimbo za Chama Fulani cha Siasa wakifunga goli, mara unasikia Chama Fulani Cha Siasa kimepeleka wanachama wake kwenda Nchi jilani kuishangilia, Mara utasikia wametembelea ubalozi wa nchi fulani.

Mara utasikia Raisi wa Nchi Fulani ametoa ndege iwapeleke kwenda kucheza huko ugenini, mara utawasikia wametoa rambirambi kwa wakimbizi wa Nchi jilani n.k..

Haya yote yanafanywa na timu ya mpira wa miguu? Hivi Hawa si waende kushiriki Siasa tu ijulikane Moja?
Mana huku kwenye mpira hakuwafai..
Roho inauma kwa kweli, yaani kila siku Raisi wa Yanga anakutana na maraisi wenzake. Nateseka mie.
 
Timu ya bara zima la Africa? Hata kule Senegal wanaelewa hivyo? Anyway, kujipa sifa usizostahili pengine ni kawaida kwa watu wa hovyo. Ni sawa na Idi Amin kujiita 'King of all birds and fishes' huku hao ndege na samaki wakiwa hawamjui hata kwa sura.
Aahaaaa
 
Mara utasikia wameenda kuonana na Raisi wa Nchi Fulani, mara utawasikia wanaimba nyimbo za Chama Fulani cha Siasa wakifunga goli, mara unasikia Chama Fulani Cha Siasa kimepeleka wanachama wake kwenda Nchi jilani kuishangilia, Mara utasikia wametembelea ubalozi wa nchi fulani.

Mara utasikia Raisi wa Nchi Fulani ametoa ndege iwapeleke kwenda kucheza huko ugenini, mara utawasikia wametoa rambirambi kwa wakimbizi wa Nchi jilani n.k..

Haya yote yanafanywa na timu ya mpira wa miguu? Hivi Hawa si waende kushiriki Siasa tu ijulikane Moja?
Mana huku kwenye mpira hakuwafai..
Kweli we lunyasi maana kwa huu ushubwada ulioandika ntashangaa kama ulifikiria kabla ya kuandika, kwa kifupi timu ni sehemu ya jamii, yote inaweza kufanya kwa sababu inatuunganidha wanajamii wote

Ingekuwa imeenda kwenye kampeni na kupiga debe apigiwe kura fulani hapo sawa, vinginevyo acha wazee wa kazi wasukume gozi, sasa we endelea kuchonga si tunasubiri kuona nani mwakani atanyanyua makwapa na kombe mikononi
 
Back
Top Bottom