Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mikia mnaumizwa sana na namna Yanga inavyoendesha mambo yake.........badala ya kuhangaika na timu yenu macho yenu yanahaha kujua Yanga inafanya nini........ anyway wengi wenu ni Wananchi wa Tz , automatically nyie ni Young Africans FC ndiyo maana 24/7 mko busy na timu yenu ya moyoni