Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Utajinyea bureKutokana na ufinyu wa akili zao hakuna atakayekuelewa kule Ubongo wote ulishanyofolewa. Wee huoni hata siku ya Mwananchi Wanavyoimbishwa nyimbo kama vitoto vya Chekechea utaskia jiesiem jiesiem jiesiem kutwa nzima.
Juzi wameenda Rwanda na tule tu school bus BUS ZIMA LIMEPIGWA LOGO ZA GSM hakuna neno Yanga. So wameshaonekana wana akili visoda ndio maaana wanapelekwa kama bus bovu tuuu wanakenua tuu
Yanga Afirika.Unaelewa kweli tafsiri halisi ya neno Young Africans Sports Club?
jamii forums ukiichulia kwa uzito sana, itaishia tu kukuvuruga ubongo.Ila nawewe kwa siku za hivi karibuni umekuwa ukikoment kitoto sana japo ni miongoni mwa wanajamii forum niliokuwa nawafuatilia sijui umekuwaje now.
yanga ni timu ya kila mtanzania mpk wewe mwenyewe sema hujui tu,siku ukijua ndo utajua ulikuwa hujuiMara utasikia wameenda kuonana na Raisi wa Nchi Fulani, mara utawasikia wanaimba nyimbo za Chama Fulani cha Siasa wakifunga goli, mara unasikia Chama Fulani Cha Siasa kimepeleka wanachama wake kwenda Nchi jilani kuishangilia, Mara utasikia wametembelea ubalozi wa nchi fulani.
Mara utasikia Raisi wa Nchi Fulani ametoa ndege iwapeleke kwenda kucheza huko ugenini, mara utawasikia wametoa rambirambi kwa wakimbizi wa Nchi jilani n.k..
Haya yote yanafanywa na timu ya mpira wa miguu? Hivi Hawa si waende kushiriki Siasa tu ijulikane Moja?
Mana huku kwenye mpira hakuwafai..
Na kwa kukazia hili,Kamwe kabla hajazama mzima mzima utopwinyo alikuwa mwenye akiliToka lini mtopolo akawa na akili wakati wenye akili kule ni JK na Sunday manara tu
"Young Africans maana yake ni Aijana wa Afrika"! Itakuwa kwa lugha ya kikwenu, hebu tafsiri kwa kiswshili.Wewe utakuwa ni kijana wa
Rage bila shaka. Young Africans maana yake ni Aijana wa Afrika.
Kwa hiyo Yanga siyo timu ya Tanzania pekee! Hii ni timu ya Bara zima la Afrika.
unaonaje kama unakerwa kajambe?Mara utasikia wameenda kuonana na Raisi wa Nchi Fulani, mara utawasikia wanaimba nyimbo za Chama Fulani cha Siasa wakifunga goli, mara unasikia Chama Fulani Cha Siasa kimepeleka wanachama wake kwenda Nchi jilani kuishangilia, Mara utasikia wametembelea ubalozi wa nchi fulani.
Mara utasikia Raisi wa Nchi Fulani ametoa ndege iwapeleke kwenda kucheza huko ugenini, mara utawasikia wametoa rambirambi kwa wakimbizi wa Nchi jilani n.k..
Haya yote yanafanywa na timu ya mpira wa miguu? Hivi Hawa si waende kushiriki Siasa tu ijulikane Moja?
Mana huku kwenye mpira hakuwafai..
Roho inauma kwa kweli, yaani kila siku Raisi wa Yanga anakutana na maraisi wenzake. Nateseka mie.Mara utasikia wameenda kuonana na Raisi wa Nchi Fulani, mara utawasikia wanaimba nyimbo za Chama Fulani cha Siasa wakifunga goli, mara unasikia Chama Fulani Cha Siasa kimepeleka wanachama wake kwenda Nchi jilani kuishangilia, Mara utasikia wametembelea ubalozi wa nchi fulani.
Mara utasikia Raisi wa Nchi Fulani ametoa ndege iwapeleke kwenda kucheza huko ugenini, mara utawasikia wametoa rambirambi kwa wakimbizi wa Nchi jilani n.k..
Haya yote yanafanywa na timu ya mpira wa miguu? Hivi Hawa si waende kushiriki Siasa tu ijulikane Moja?
Mana huku kwenye mpira hakuwafai..
Na wewe hicho kiswshili ndiyo kitu gani?"Young Africans maana yake ni Aijana wa Afrika"! Itakuwa kwa lugha ya kikwenu, hebu tafsiri kwa kiswshili.
Cha kikwetu.Na wewe hicho kiswshili ndiyo kitu gani?
AahaaaaTimu ya bara zima la Africa? Hata kule Senegal wanaelewa hivyo? Anyway, kujipa sifa usizostahili pengine ni kawaida kwa watu wa hovyo. Ni sawa na Idi Amin kujiita 'King of all birds and fishes' huku hao ndege na samaki wakiwa hawamjui hata kwa sura.
Kweli we lunyasi maana kwa huu ushubwada ulioandika ntashangaa kama ulifikiria kabla ya kuandika, kwa kifupi timu ni sehemu ya jamii, yote inaweza kufanya kwa sababu inatuunganidha wanajamii woteMara utasikia wameenda kuonana na Raisi wa Nchi Fulani, mara utawasikia wanaimba nyimbo za Chama Fulani cha Siasa wakifunga goli, mara unasikia Chama Fulani Cha Siasa kimepeleka wanachama wake kwenda Nchi jilani kuishangilia, Mara utasikia wametembelea ubalozi wa nchi fulani.
Mara utasikia Raisi wa Nchi Fulani ametoa ndege iwapeleke kwenda kucheza huko ugenini, mara utawasikia wametoa rambirambi kwa wakimbizi wa Nchi jilani n.k..
Haya yote yanafanywa na timu ya mpira wa miguu? Hivi Hawa si waende kushiriki Siasa tu ijulikane Moja?
Mana huku kwenye mpira hakuwafai..