Acha ubishi,mzungu kakuzidi mbali kifikra hadi nguo ya ndani uliyovaa hapo kipindi zinaletwa mababu zetu walizipinga kama ww unavyoleta ubishi dhidi ya VAR ila kiukweli VAR imesaidia sana,mengine ni makosa ya refa kukauishia baadhi ya vitu bila kwenda kufanya reference kwenye,Kama timu yako ilikuwa inafunga kiwizi wizi basi mjipange upya mkuu kufit kwenye system
Mkuu sijafuta comment yangu pale juu,
Ila naomba niongeze hivi wewe ni MPUMBAVU
Msimu wa 2019/2020 mpaka sasa nimeangalia mechi kwa asilimia 95%
Ni mechi chache sana sijaziona
Ila nime-conclude VAR ni takataka
Kwa taarifa yako mimi nilikuwa fan sana wa hii kitu wakati inaanzishwa,
Aisee mtu angeisema vibaya ningemuua ila kadri nnavyoendelea kuangalia naona VAR ni upuuzi kabisa
Kwenye kosa clear wanapeta
Kwa taarifa yako na upumbavu wako hata wazungu wenyewe na hasa wa-uingereza tena wanaohusika na hiyo VAR moja kwa moja wanadai kuna makosa yanatoke
Na mpaka mwenyeti wao alikiri hata VAR inakosea
Sasa kwa sababu wewe ni mpumbavu kila kitu hutaki hata kureason
Kaa na UPUMBAVU wako.
Tatizo la waafrika ni wavivu kufikiri sana,baada ya timu Fulani kuwa na magoli ya wizi mengi basi wanaanza kuisingizia VAR haifai,binafsi nimecheki game nyingi za EPL za msimu huu na sijaona makosa ya VAR,ila nnachokiona hapa ni ushabiki maandazi wa timu Fulani ndio unaofanya VAR isemwe kuwa inaharibu ila binafsi naona imeleta usawa sana,msimu uliopita Man City alishinda 2-1 dhidi ya Liverpool ila kuna goli liver alishinda mpira ulivuka mstari robo tatu ila refa akalikata wala hakutaka reference pia dakika za lala salama beki wa Man City alinawa mpira na ilikuwa clear kabisa kanawa mpira ila refa akapeta hakutaka hata msaada wa kibendera ila msimu huu City anaenyeshwa na VAR sana sababu walizoea slope sana,Leo kuna usawa watu wanasema eti VAR haifai ila yote hii ni ushabiki tu
Game ngapi hasa ambazo umeziona wewe?
Wengine hizo game hatujaziona ama
Football laws may need changing if VAR controversy is to reduce dramatically, a Premier League club executive said.
www.google.com
Soma jinsi hao mabwana zako wanavyoijadili hivyo VAR
Usikurupuke tu kijinga kijinga na ubishi wa hovyo hovyo