Huyu mzee alikuwa tajiri sana. Ni mtu wa kwanza Tanzania kuwa na biashara ya, magari.Lakin alipoingia, BM alikutwa ana daiwa, kodi zaidi ya 400m.Alifirisiwa kabisa.Ikabidi akimbilie Open university kusoma LLB. Kwa sasa, anaishi mikocheni B.Nimecheka mimiπ€£π€£π€£
Mtangazaji: Mnapewa pesa
Rungwe: Eeh! Tunapewa pesa.
Mtangazaji: Mnazila
Rungwe: Eeh tunazila
Mimi: πππππππππππππ