Matteo Vargas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2019
- 803
- 1,329
Aljazeera siku hizi wanatengeneza movie??Mbona kawaida sana hiyo movie? Je ungeona live ungefanyaje,???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aljazeera siku hizi wanatengeneza movie??Mbona kawaida sana hiyo movie? Je ungeona live ungefanyaje,???
Amani ni nini?
Mkuu usiombee hayoTunatakiwa na sisi tufikie huko angalau hata maramoja ili ccm waanze kutenda haki.Bila kuchapana tusahau utawala wa Sheria
Mkuu inaonekana unaishi maisha Yan huna Cha kupotezaHii dunia lingepigwa nuclear moja tu matata kipotezwe Kila kitu.....maana tumekuwa wa ajabu sana
Amani kwenye nchi ambayo watawala waanuka damu za watu eti kisa tu wamekosolewa. NonsenseWewe kuweza kushika simu yako kwa utulivu kabisa na kuingia jf na kuuliza maana ya amani na kutulia ukisubiri majibu ni matokeo ya amani inayokuzunguka
Huyo dogo ndo aje bongo harafu ujifanye unamtishia kisu wakati yeye kanusurika RPG
🙄🙄🙄 Kubabake mbn kasheshe
Hata enzi za Musa na Daudi vita zilikuwepo.
Nothing is permanent!Mkuu inaonekana unaishi maisha Yan huna Cha kupoteza
Aljazeera wanarekodi vichinda wa mbuzi??? Aisee ndio maana watu mnatapeliwa......Aljazeera siku hizi wanatengeneza movie??
1.Hamna Amani bila haki:-