Wa Jews waliuliwa sana na Hitler sasa wao Jews wanawauwa sana wa Palestine, Makaburu waliwauwa sana wa south Africa lakini sasa wa south Africa wanawauwa waafrika wenzao. Hizi akili za watu weusi hata kule USA wazungu waliwauwa sana weusi lakini sasa weusi wanauwana wenyewe kwa wenyewe.
Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ