Hii video inasikitisha sana

Acha chazba. Ulaya watu hujiuzulu japo mmoja
Kwa hiyo akijiuzulu ndipo hao waliokwama kwenye vifusi watatoka kirahisi?

Umehitimisha kuwa Africa imelaaniwa umetumia vigezo Gani!?
 
Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yacobo wasaidie watu hawa😭😭😭😭


Inauma sanaaa Dar huko ukiwa kibarazani tu unataka uweke feni sababu ya joto leo hii humo dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…