Hii vita ni Makombora vs Vikwazo vya kiuchumi, mmoja anakaribia kuomba poo!

Hii vita ni Makombora vs Vikwazo vya kiuchumi, mmoja anakaribia kuomba poo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kama una kijana wako anasoma Russia basi ujue hali ya utumaji fedha nchini humo imeanza kutatizika mifumo ya benki kuu yake imeelemewa na mingine haina access na International systems.

Wewe unapiga kwa makombora mwenzako anautandika uchumi wako ni lazima ama uombe poo au ukimbilie nyuklia kwa kuchanganyikiwa.

Vita ya uchumi ni mbaya sana, huu ulikuwa ni wosia wa mwisho wa Rais Magufuli pale St Peters Oysterbay.

Mungu wa mbinguni mpumzishe kwa amani Joseph Magufuli!
 
Kama una kijana wako anasoma Russia basi ujue hali ya utumaji fedha nchini humo imeanza kutatizika mifumo ya benki kuu yake imeelemewa na mingine haina access na International systems.

Wewe unapiga kwa makombora mwenzako anautandika uchumi wako ni lazima ama uombe poo au ukimbilie nyuklia kwa kuchanganyikiwa.

Vita ya uchumi ni mbaya sana, huu ulikuwa ni wosia wa mwisho wa Rais Magufuli pale St Peters Oysterbay.

Mungu wa mbinguni mpumzishe kwa amani Joseph Magufuli!
Uandishi wa kishabiki huu, kwan ile vita ya magufuli aliekuwa anaizungumzia ndio kama hii au hukumuelewa??? Hizi hotuba za marais ziwe zinafanyiwa tafsiri nashauri maana wananchi huku hawaelewi kitu.

Kile cha Russia sasa sio vita ya uchumi vile ni vikwazo vya uchumi.

Vita ya kiuchumi ni kama ile ya China na Marekani juu ya 5g tec au iphone na huawei nk.

Lakini kwa kukuondolea hofu vikwazo vya kiuchumi nchi kibao zimewekewa na bado watu wanaishi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uandishi wa kishabiki huu, kwan ile vita ya magufuli aliekuwa anaizungumzia ndio kama hii au hukumuelewa??? Hizi hotuba za marais ziwe zinafanyiwa tafsiri nashauri maana wananchi huku hawaelewi kitu.

Kile cha russia sasa sio vita ya uchumi vile ni vikwazo vya uchumi.

Vita ya kiuchumi ni kama ile ya china na marekan juu ya 5g tec au i phone na huwawei nk.

Lakin kwa kukuondolea hofu vikwazo vya kiuchumi nchi kibao zimewekewa na bado watu wanaishi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utaelewa muda siyo mrefu bwashee.

Hapa hatuko kubishana maana mtanange uko mubashara!
 
Kama una kijana wako anasoma Russia basi ujue hali ya utumaji fedha nchini humo imeanza kutatizika mifumo ya benki kuu yake imeelemewa na mingine haina access na International systems.

Wewe unapiga kwa makombora mwenzako anautandika uchumi wako ni lazima ama uombe poo au ukimbilie nyuklia kwa kuchanganyikiwa.

Vita ya uchumi ni mbaya sana, huu ulikuwa ni wosia wa mwisho wa Rais Magufuli pale St Peters Oysterbay.

Mungu wa mbinguni mpumzishe kwa amani Joseph Magufuli!
Acha tu nikusifu sentence yako ya Mwisho.
You made it
 
Uputini-putini ni ushamba uchwara

Hivi Russia wanapoteza pakubwa ilitakiwa wananchi waanze kumkataa huyu jamaa

Lazima wakomae jamaa anawapeleka chaka atakuwa "the hero of the classical Era"

Wanapotea vikwazo vya kiuchumi sio yenyewe halafu ni vya longrun
 
I'M REAL REGRET

FB_IMG_16457866523534449.jpg
 
Uandishi wa kishabiki huu, kwan ile vita ya magufuli aliekuwa anaizungumzia ndio kama hii au hukumuelewa??? Hizi hotuba za marais ziwe zinafanyiwa tafsiri nashauri maana wananchi huku hawaelewi kitu.

Kile cha russia sasa sio vita ya uchumi vile ni vikwazo vya uchumi.

Vita ya kiuchumi ni kama ile ya china na marekan juu ya 5g tec au i phone na huwawei nk.

Lakin kwa kukuondolea hofu vikwazo vya kiuchumi nchi kibao zimewekewa na bado watu wanaishi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vita ya uchumi... Au haujui Russia na yeye analipiza kama anavyofanyiwa?
 
Kama una kijana wako anasoma Russia basi ujue hali ya utumaji fedha nchini humo imeanza kutatizika mifumo ya benki kuu yake imeelemewa na mingine haina access na International systems.

Wewe unapiga kwa makombora mwenzako anautandika uchumi wako ni lazima ama uombe poo au ukimbilie nyuklia kwa kuchanganyikiwa.

Vita ya uchumi ni mbaya sana, huu ulikuwa ni wosia wa mwisho wa Rais Magufuli pale St Peters Oysterbay.

Mungu wa mbinguni mpumzishe kwa amani Joseph Magufuli!

You must be a lazy dreamer. Iran iliondolewa kwenye SWIFT 2014 na bad inapiga kazi.

Ulaya inaumia zaidi kwa vikwazo hivyo kama anavyoumia Russia. Hakuna mshindi katika hilo.
 
Syria na vikwazo vyote aluvyowekewa vipi umeona wameyumba? Korea kaskazin Cuba vipi

Wewe unasema hivyo upo Tanzania, nenda ukaishi kule ndio utajua ukubwa wa vikwazo. Mfano mzuri ni Zimbabwe kamuulize aliyopitia mpaka wakaamua kumpindua Mugabe. Vikwazo visikie kwa wengine sio kwako. Wewe fikiria Rais anategemea mikopo ya nje, siku tukiwekewewa vikwazo ndio mwisho wetu.
 
Kama una kijana wako anasoma Russia basi ujue hali ya utumaji fedha nchini humo imeanza kutatizika mifumo ya benki kuu yake imeelemewa na mingine haina access na International systems.

Wewe unapiga kwa makombora mwenzako anautandika uchumi wako ni lazima ama uombe poo au ukimbilie nyuklia kwa kuchanganyikiwa.

Vita ya uchumi ni mbaya sana, huu ulikuwa ni wosia wa mwisho wa Rais Magufuli pale St Peters Oysterbay.

Mungu wa mbinguni mpumzishe kwa amani Joseph Magufuli!
Hii ngoma bado mbichi bwasheeee...
 
Back
Top Bottom