econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
You must be a lazy dreamer. Iran iliondolewa kwenye SWIFT 2014 na bad inapiga kazi.
Ulaya inaumia zaidi kwa vikwazo hivyo kama anavyoumia Russia. Hakuna mshindi katika hilo.
EU anaumiaje wakati ni nchi wanachama Ni one economic block.