Hii vita ni Makombora vs Vikwazo vya kiuchumi, mmoja anakaribia kuomba poo!

Hii vita ni Makombora vs Vikwazo vya kiuchumi, mmoja anakaribia kuomba poo!

IMG_4862.jpg

IMG_4863.jpg

IMG_4865.jpg

Hao nato wanamtafuta Putin hizo Ndege zao wajeda wa Ukraine hawajui kuziendesha so kunauwezekano wakatuma wajeda kutoka nato wacha tuone
 
Kama una kijana wako anasoma Russia basi ujue hali ya utumaji fedha nchini humo imeanza kutatizika mifumo ya benki kuu yake imeelemewa na mingine haina access na International systems.

Wewe unapiga kwa makombora mwenzako anautandika uchumi wako ni lazima ama uombe poo au ukimbilie nyuklia kwa kuchanganyikiwa.

Vita ya uchumi ni mbaya sana, huu ulikuwa ni wosia wa mwisho wa Rais Magufuli pale St Peters Oysterbay.

Mungu wa mbinguni mpumzishe kwa amani Joseph Magufuli!
Iran kawekewa sanctions kwa miaka mingapi, Syria Je ?

No one Wins a War..., na mwisho wa siku anayeumia ni Mwananchi...., Pia kumbuka Russia wananchi wameshazoea maisha magumu.., na hatred towards west / America is deeply engraved kwa wananchi...

For people like us Globalists ni wakati wa huzuni sana (we are taking backwards steps as humankind)
 
Wewe unasema hivyo upo Tanzania, nenda ukaishi kule ndio utajua ukubwa wa vikwazo. Mfano mzuri ni Zimbabwe kamuulize aliyopitia mpaka wakaamua kumpindua Mugabe. Vikwazo visikie kwa wengine sio kwako. Wewe fikiria Rais anategemea mikopo ya nje, siku tukiwekewewa vikwazo ndio mwisho wetu.
Watu humu wamekaa ki shabiki tu!
Wangekuwa wanaishi humo ndo wangeelewa labada
 
German ameshaachana na gesi ya Russia amepata kwingine kuanzia jana.

Hata sisi Tanzania tuna gesi ya kumwaga hatuna wa kumuuzia waje tu!

Nkt. Ingekuwa rahisi hivyo mbona isingekuwa hoja aisee. Unajua kama Mjerumani amegoma kuidhinisha Urusi kuondolewa kwenye SWFT? Na yeye ndo alikuwa anasubiriwa muda mrefu? Actually alisema yeye hakubaliani na hatua hiyo japo EU imeishaamua.

Hivyo vikwazo vitaondolewa mara baada ya vita believe me.
 
Usiwe na akili kama za Samia kuiambia Benki kuu ianze Kufanya legal transaction za Cryptocurrency.

Sifa ya kwanza ya Crypto currency ni decentralized (All Blockchain technology should be this way), nje ya hapo hiyo siyo cryptocurrency.

Duniani kote ni nchi moja tu ndio Cyrptos ni legal tender (El Salvador) Uchina, USA, Hata Iran walijaribu ila Hadi kesho hawajaanza kuzitumia sababu ya hiyo Sifa ya kwanza (maana yake Serikali haitaweza kujua source Wala destination ya miamala).

Wewe hata ukiwa na Bitcoin 10 now utakachoweza kuinunulia now ni Child Porns, vitu vya magendo na baadhi ya vitu mitandaoni, but kwenye uchumi halisia Cryptocurrency Bado sana sana.

Cryptocurrency zinazungukaje au zinatengenezwaje.

1. Mining(kupata zawadi ya cryptocurrency) baada ya kuthibitisha muamala kwenye network ya hizi cryptocurrency (Blockchain)
Hii process in expensive sana, unahitaji uwe na computer nzuri, umeme, na cooling centers running 24/7 hii investment inahitaji fiat currency.

Gharama ya chini kwa mtu wa Kawaida kupata at least some profit kwa njia hii ni kuwa na computer ambayo utaipata kwa angalau Million 5 ya Tanzania.

2. Malipo Halali (Haya ni machache sana, hata hao Russia asilimia ya hawajawahi kununulia mkate)


Watu wengi huuziwa Hizi Bitcoins mwisho wa siku wanakosa kwa kuzitumia.

Cryptocurrency haziwezi kureplace Fiat currency labda next 20 years tena kuwe na global crisis ya aina yake na Kila mtu azielewe

Mlipolalia ndo wao walipoamkia.......Putin anacheka tu iiiiiiiiiView attachment 2133829View attachment 2133830View attachment 2133831
 
Usiwe na akili kama za Samia kuiambia Benki kuu ianze Kufanya legal transaction za Cryptocurrency.

Sifa ya kwanza ya Crypto currency ni decentralized (All Blockchain technology should be this way), nje ya hapo hiyo siyo cryptocurrency.

Duniani kote ni nchi moja tu ndio Cyrptos ni legal tender (El Salvador) Uchina, USA, Hata Iran walijaribu ila Hadi kesho hawajaanza kuzitumia sababu ya hiyo Sifa ya kwanza (maana yake Serikali haitaweza kujua source Wala destination ya miamala).

Wewe hata ukiwa na Bitcoin 10 now utakachoweza kuinunulia now ni Child Porns, vitu vya magendo na baadhi ya vitu mitandaoni, but kwenye uchumi halisia Cryptocurrency Bado sana sana.

Cryptocurrency zinazungukaje au zinatengenezwaje.

1. Mining(kupata zawadi ya cryptocurrency) baada ya kuthibitisha muamala kwenye network ya hizi cryptocurrency (Blockchain)
Hii process in expensive sana, unahitaji uwe na computer nzuri, umeme, na cooling centers running 24/7 hii investment inahitaji fiat currency.

Gharama ya chini kwa mtu wa Kawaida kupata at least some profit kwa njia hii ni kuwa na computer ambayo utaipata kwa angalau Million 5 ya Tanzania.

2. Malipo Halali (Haya ni machache sana, hata hao Russia asilimia ya hawajawahi kununulia mkate)


Watu wengi huuziwa Hizi Bitcoins mwisho wa siku wanakosa kwa kuzitumia.

Cryptocurrency haziwezi kureplace Fiat currency labda next 20 years tena kuwe na global crisis ya aina yake na Kila mtu azielewe
sasa umeona aliefanya hivyo ni Samia<<< we toa povu wao wanaendelea na kazi hio swift mkapigie deki.........................naona hujaelewa unatoa povu tu ......soma uelewe
 
Watu wana options unabana huku wanahamia huku wataoteseka wao kwenda kulipa hahahah mafuta,gesi mnamtegemea mrusi afu mnajidai kumuekea vikwazo, naona uchumi wa China unavyoenda kuwa juu hapa
 

Attachments

  • IMG_4874.jpg
    IMG_4874.jpg
    85.6 KB · Views: 18
Kama una kijana wako anasoma Russia basi ujue hali ya utumaji fedha nchini humo imeanza kutatizika mifumo ya benki kuu yake imeelemewa na mingine haina access na International systems.

Wewe unapiga kwa makombora mwenzako anautandika uchumi wako ni lazima ama uombe poo au ukimbilie nyuklia kwa kuchanganyikiwa.

Vita ya uchumi ni mbaya sana, huu ulikuwa ni wosia wa mwisho wa Rais Magufuli pale St Peters Oysterbay.

Mungu wa mbinguni mpumzishe kwa amani Joseph Magufuli!
Benki 4 tayari zimeondolewa kwenye mfumo Leo asubuhi.
 
Watu wana options unabana huku wanahamia huku wataoteseka wao kwenda kulipa hahahah mafuta,gesi mnamtegemea mrusi afu mnajidai kumuekea vikwazo, naona uchumi wa China unavyoenda kuwa juu hapa
jamaa hakwenda China bure aseee
 
Usiwe na akili kama za Samia kuiambia Benki kuu ianze Kufanya legal transaction za Cryptocurrency.

Sifa ya kwanza ya Crypto currency ni decentralized (All Blockchain technology should be this way), nje ya hapo hiyo siyo cryptocurrency.

Duniani kote ni nchi moja tu ndio Cyrptos ni legal tender (El Salvador) Uchina, USA, Hata Iran walijaribu ila Hadi kesho hawajaanza kuzitumia sababu ya hiyo Sifa ya kwanza (maana yake Serikali haitaweza kujua source Wala destination ya miamala).

Wewe hata ukiwa na Bitcoin 10 now utakachoweza kuinunulia now ni Child Porns, vitu vya magendo na baadhi ya vitu mitandaoni, but kwenye uchumi halisia Cryptocurrency Bado sana sana.

Cryptocurrency zinazungukaje au zinatengenezwaje.

1. Mining(kupata zawadi ya cryptocurrency) baada ya kuthibitisha muamala kwenye network ya hizi cryptocurrency (Blockchain)
Hii process in expensive sana, unahitaji uwe na computer nzuri, umeme, na cooling centers running 24/7 hii investment inahitaji fiat currency.

Gharama ya chini kwa mtu wa Kawaida kupata at least some profit kwa njia hii ni kuwa na computer ambayo utaipata kwa angalau Million 5 ya Tanzania.

2. Malipo Halali (Haya ni machache sana, hata hao Russia asilimia ya hawajawahi kununulia mkate)


Watu wengi huuziwa Hizi Bitcoins mwisho wa siku wanakosa kwa kuzitumia.

Cryptocurrency haziwezi kureplace Fiat currency labda next 20 years tena kuwe na global crisis ya aina yake na Kila mtu azielewe
Madini mazuri sana Omari. Watu kama nyie taifa linawahitaji sana kwa maendeleo ya nchi.
Mbaya siasa wanawekwa waropokaji tu sehemu nyeti . Binafsi sijui masuala ya financial lakini nimepata kitu. Asante

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Kama una kijana wako anasoma Russia basi ujue hali ya utumaji fedha nchini humo imeanza kutatizika mifumo ya benki kuu yake imeelemewa na mingine haina access na International systems.

Wewe unapiga kwa makombora mwenzako anautandika uchumi wako ni lazima ama uombe poo au ukimbilie nyuklia kwa kuchanganyikiwa.

Vita ya uchumi ni mbaya sana, huu ulikuwa ni wosia wa mwisho wa Rais Magufuli pale St Peters Oysterbay.

Mungu wa mbinguni mpumzishe kwa amani Joseph Magufuli!

Ni kweli vita ya kiuchumi ilikuwa kali sana awamu ya tano
Tulipoteza matajiri wakubwa, pamoja na raisi mwenyewe
 
Hadi dakika hii fedha ya Russia imeanguka kwa 40% against dollar.

Benki kuu ya Russia imeongeza riba kwa wateja wake.

Urusi anachezea kichapo cha mbwa koko, asubuhi tu ilikuwa 30% mambo yanaenda kasi sana!
hiyo fedha hata ianguke kwa 100% haijalishi. Ikiwa Urusi anataka kununua nje ya nchi ndio issue lakini ndani ya nchi haijalishi kama matumizi ni ndani kwa bidhaa wanazozizalisha wao. Lakini pia wanaotaka kununua vitu Urusi watabidi walipe kiasi ambacho Mrusi anataka kwa mujibu wa makubaliano.
 
Back
Top Bottom