johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #101
Umekariri!mrusi anarasilimali za kutosha hakuna atakaemsusia.....jua hilo, gesi itachukuliwa, mafuta yatanunuliwa na ngano watabeba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekariri!mrusi anarasilimali za kutosha hakuna atakaemsusia.....jua hilo, gesi itachukuliwa, mafuta yatanunuliwa na ngano watabeba
Wewe waache waje na usela nondo wao wa 80's uliopitwa na wakatiSema hvyo hvyo zilipendwa.
Ilhali Mrusi wenu Mambo yanaanza kumuelemea.Kwa vikwazo anavyoendelea kupigwa asipotathmini atakua na hali ngumu ya kiuchumi Kama Iran .
Hehehehehhe.mrusi anarasilimali za kutosha hakuna atakaemsusia.....jua hilo, gesi itachukuliwa, mafuta yatanunuliwa na ngano watabeba
Hii ni Ze Comedy sasa unatuletea hapaUchumi anakuja kuwazaba mabao mchina......huu mchezo hauhitaji hasira...................hii formation kama 442 mrusi anakutwanga, mchina anabeba uchumi
kama yule kibaka wa ukraine alieigiza uraisHii ni Ze Comedy sasa unatuletea hapa
Putin ameingizwa mjini kizembe sanaaa.Wale jamaa wamemzidi akili pakubwa. Kule vitani amefanyiwa mchezo mchafu,maana hajafanikiwa kuuteka mji wala kumwondoa jamaa.Kakutana na upinzani wa hatariiii asioujia umetoka wapi.[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba mwamba ataomba poo
Unajua ktk ukweli na uhalisia unatakiwa uweke ushabiki pembeni,hiki ni kitu ambacho pro-Russia wanakisahau kaka.Pro Russia ukiwakumbushia kile kichapo walichokipata Georgia,wanabaki kutoa povu hatari,Dunia ya leo hii unaleta ubabe wa kizamani wa 80's huko.Mara anatishia kutumia Nukes,utadhani anazo peke yake,ajaribu sasa aone kama Dunia itamtizama tu,lile somo la Georgia naona hakulipata vizuri,kupitia Ukraine nadhani ataelewa zaidi,wenzie wanatumia akili zaidi wanamtandika kwa vikwazo huku wanapop Champagne wakati yeye huku anapigana vita na wakati huo huo anapambana na vikwazo.Unaweza kuwa na maguvu mengi lakini usiwe na akili ya kuyatumia yakakuletea manufaa kwako.
kama mlivyokaririshwa na mabwanyenye wa magharibi.............Umekariri!
Mkuu mbona MODS siku hizi wanakuonea sana na Ban. Yani inaniuma kichiz. Tangu putin aivamie Ukraine yani michangoMakombora na vita ya uchumi sasa si unawafumua tu wanaosumbua wote wafe tu
Russia amekula banning kila kitu kkt mambo ya kiuchumiVikwazo anavyowekewa Russia ni tofauti kabisa bwashee.
Leo thamani ya fedha ya Russia imeshuka kwa 30%
Muda si mrefu watafanana na Zimbabwe
Fidel castro alisema kabisa tunakomaa lakin tunaumiaSyria na vikwazo vyote alivyowekewa vipi umeona wameyumba? Korea kaskazin Cuba vipi
yote hayo ndani ya muda mfupi tu, wakiweza kufikisha hata miaka mi 2 kwahivyo vikwazo walivyoweka basi watakua wamekua sasaPutin ameingizwa mjini kizembe sanaaa.Wale jamaa wamemzidi akili pakubwa. Kule vitani amefanyiwa mchezo mchafu,maana hajafanikiwa kuuteka mji wala kumwondoa jamaa.Kakutana na upinzani wa hatariiii asioujia umetoka wapi.
Huku anatengwa na kila mtu mpaka kwenye michezo.Vikwazo vya kiuchumi ndo balaa.Ataomba poo
Wewe unazungumza kutoka tandale wakati wenzako Urusi uchumi kwao ndo jambo muhimu sasa vikwazo vinawatatiza sana.Syria na vikwazo vyote alivyowekewa vipi umeona wameyumba? Korea kaskazin Cuba vipi
Putin ameingizwa mjini kizembe sanaaa.Wale jamaa wamemzidi akili pakubwa. Kule vitani amefanyiwa mchezo mchafu,maana hajafanikiwa kuuteka mji wala kumwondoa jamaa.Kakutana na upinzani wa hatariiii asioujia umetoka wapi.
Huku anatengwa na kila mtu mpaka kwenye michezo.Vikwazo vya kiuchumi ndo balaa.Ataomba poo
Tena kakariri vibaya sana huyu jamaa.Umekariri!
Bado mapema Sana kuona madhara yake....upe muda nafasi.
Syria na vikwazo vyote alivyowekewa vipi umeona wameyumba? Korea kaskazin Cuba vipi
wewe huna vikwazo una maISha rahisi?Tena kakariri vibaya sana huyu jamaa.
Ajiulize Iran Ina rasilimali chungu mzima Uranium,gas,dhahabu na mafuta ya makarne ila wananchi wanalia daily hali ngumu.